DON KILLUMINATI
Senior Member
- Jan 2, 2011
- 193
- 83
Heshima kwenu wakuu.
Nina router ya sasatel ambayo naitumia ku connect computer kadhaa kwa wireless na utp, sasa nimeamua kubadili operator nikanunua ya airtel, but nimegundua kwamba ile router ya sasatel iko more powerful na hata kwa inavyonekana as ni zile zenye stick 2 kwa mbele (aerial) but ya airtel wao wana internet speed nzuri lakini router zao ovyo. Sasa wandugu naombeni msaada jinsi ya kui-crack hiyo router ya sasatel ili niweze kutumia sim card yoyote.
Nawasilisha.
Nina router ya sasatel ambayo naitumia ku connect computer kadhaa kwa wireless na utp, sasa nimeamua kubadili operator nikanunua ya airtel, but nimegundua kwamba ile router ya sasatel iko more powerful na hata kwa inavyonekana as ni zile zenye stick 2 kwa mbele (aerial) but ya airtel wao wana internet speed nzuri lakini router zao ovyo. Sasa wandugu naombeni msaada jinsi ya kui-crack hiyo router ya sasatel ili niweze kutumia sim card yoyote.
Nawasilisha.