Yangu ni nokia 6300 inaweza ikawezekana?
Kuhusu unscreened c mtu akikupigia c inakuwa inaita bt haitoi mlio?
hicho ndo ninachokijua.
mi mwenyewe nilitamani sana kitu hiki, nikawauliza costomer care (voda) wakaniyeyusha, walishindwa. ila naamini ukipata mtaalamu wao anaweza kufanyakitu hicho.
<br />Yangu ni nokia 6300 inaweza ikawezekana?<br />
Kuhusu unscreened c mtu akikupigia c inakuwa inaita bt haitoi mlio?
Mkuu una daiwa nini? dawa ya deni ni kulipa....Kama walivyo sema wenzangu ina wezekana kutegemea na simu uliyo nayo.jaribu hii application ni ya kununua ila unaweza kuidownload na kuitumia kwa siku kadhaa tu .Best Blacklist for S60 3rd editionWadau mambo vp?
Naomba kuuliza eti kuna uwezekano wa mtu kuzuia kama hautaki mtu akupate kwenye hewani lakini wewe unakuwa hewani fresh na watu wengine wanakupata kama kawaida? Kuna kitu kama hcho?
Mkuu hii option yako ni ya kuzuia simu zote zinazo ingia,hivyo utamfanya jamaa hakose mawasiliano na watu wake muhimu, yeye anataka kuzuia namba moja au zaidi ya moja na siyo kuzia zote.Ninayoijua mimi ni kufunga simu ambayo kwa kufunga ni *35*0000# na kufungua ni #35*0000# ukifunga haiingii msg wala simu ila ukipiga sim inatoka kama kawaida!Ni hii kwa sim yoyote hata ya tochi
Mkuu, unaongea kimasihara sana, kumbuka jamaa ajakuambia kuwa anataka kubadilisha simu bali anataka kuzuia namba inayomsubua isimpate.... Siyo kila mtu ana uwezo wa kumiliki blackberry mkuu.Achana na nokia, tumia blackberry weka callblocker app. Lol! Utachagua nani wakukupigia
Ninayoijua mimi ni kufunga simu ambayo kwa kufunga ni *35*0000# na kufungua ni #35*0000# ukifunga haiingii msg wala simu ila ukipiga sim inatoka kama kawaida!Ni hii kwa sim yoyote hata ya tochi
Tunashukuru Fisadi kwa kutöönesha ni jinsi gani tunaweza kuzifisadi cmuNinayoijua mimi ni kufunga simu ambayo kwa kufunga ni *35*0000# na kufungua ni #35*0000# ukifunga haiingii msg wala simu ila ukipiga sim inatoka kama kawaida!Ni hii kwa sim yoyote hata ya tochi