corlpole
Member
- Nov 21, 2010
- 11
- 0
Juzi tu nilipata ajali, ila nikapona.
Lakini gari select saloon imeumia vibaya sana. Nataka kuitengeneza lakini rangi zinasumbua ni "dark foamred" zilizopo zinapauka,
nisaidieni technolojia ya kutunza rangi ya gari, pia kupinda cheses ni nini?
Hope kuna mechanical people hapa!
Lakini gari select saloon imeumia vibaya sana. Nataka kuitengeneza lakini rangi zinasumbua ni "dark foamred" zilizopo zinapauka,
nisaidieni technolojia ya kutunza rangi ya gari, pia kupinda cheses ni nini?
Hope kuna mechanical people hapa!