Accounts za Mama Salma Kikwete Facebook na Twitter zinapost mambo ya kuifagilia Chadema tuu kwa sasa. Inaonekena kama zimekuwa hacked. Wenye access nae wamtaarifu. This is not good.
Account ya...
jamani nikinunuaa bundle ya net inaisha kama upepo! mpaka sielewi muhimu wake! bundle la mwezi linaisha siku moja! hapo nimesurf kidogo na wala sijadownload chochote! au voda ni wezi?:embarassed2:
Habari wana Jf!
Mie nina shida ya vitabu vya kwenye net (e books) vya NEW MEDIA TECHNOLOGY! Nimegoogle mpaka nimechoka.
Tafadhali mwenye msaada huu nitashukuru sana, hata kwa kununua pia nipo...
SAP AG, the largest maker of business-management software, agreed to buy SuccessFactors Inc. for $3.4 billion in cash to keep pace with archrival Oracle Corp. in the cloud-computing market.
SAP...
Value engineering is basically aimed at increasing the value or improving the output without actually increasing the cost of the input. It is actually about the function of a thing and not what it...
nilikuwa naandika kaz microsoft word katka kusave ikaleta option ambayo nikaselect save without knowng nikaja kufungua lile folder ile kaz ya mwanzo yote nayo ikawa imepotea. Je kuna njia ya...
Time to time when I am researching for new gadget to buy, I always read the lowest ranking opinions that people post about a device. Many times these negative comments come from MAC users as they...
Wadau wa teknolojia naomba ushauri wenu kwa hili kama lina wezekana
Jirani yetu ana tumia DSTV na anadai gharama kwa mwezi zimemzidi uzito, so ametuita majirani zake wawili akatuomba kama tupo...
hey wana jf naomba tushee hii software kama unamiliki simu ya symbian kujua kama una simu ya symbia click hapa http://vulpine.mobi/spec/mydevice na simu yako. Then shuka mpaka os utajua kama simu...
habari za mida hii...samahani hivi naomba kuuliza kidogo najua ukiwa na desktop unaweza ukanunua kifaa kimoja ukaweka nyuma ya cpu na ukapata radio viziri bila haja ya internet je kwenye laptop...
Nimedownload fifa11 yenya Gb 4.5 kupitia utorrent ila kuinstall inashindikana. Nimeopen file ila sioni option ya kuinstall cha zaidi ikanitaka niiburn nikanuunua DVD nikaiburn still...
ninashida wanajamii forum! Comp yangu imecrash window. Nimedownload xp sp3 kutoka kwenye torrent site moja ila wakati nainstall ikaniuliza key, na mimi sina. Plz naomba msaada wenu!!
Wadau laptop yangu nilikua ni click caps lock, ama kuongeza au kupunguza sauti ama kuongeza na kupunguza light ilikua ikionyesha kwenye screen..Lakini sasa haionyeshi tena kwa hyo mara nyingine...
Lets talk about Windows 7 network card (network adapter) configuration here, so that you could connect to Ethernet home network with wired connection. I would assume you have already configured...
It is usually highly recommended to update your device drivers as hardware manufacturers often release new versions of their drivers for fixing bugs, adding new features, increasing device and...