Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naombeni wadau msaada kwa hili. 0756286835
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Yaani nimetumia hii aina kwa mara ya kwanza. Ina upuuz mwingi sana. App lazima uzipe ruhusa. Yaani ni kama upuuzi. Haya mambo ya katalog eti sijui kuonekana unamiliki uninga mtupu
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu, Webservice ndio chanzo kikuu cha umaskini kwa IT wengi, leo nilikua nafanya malipo kwa service nazo zitumia kwenye personal projects, aise ukifanya mchezo fedha zako zote zinaishia huku...
1 Reactions
7 Replies
654 Views
Kwa yoyote anayejua VPN zenye server Tanzania anisaidie, nahitaji IP address ya TZ. Au mwenye ujuzi tofauti itakuwa poa zaidi. Asante
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Artificial Intelligence in Tanzania: Tumetengeneza Artificial Intelligence platform ambayo inaweza kukusaidia kuongeza ufanisi na productivity ktk kazi zako, leo nita share vitu vichache kidogo...
8 Reactions
31 Replies
3K Views
Habar zenu wandug Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu, nimenunua TV ya kichina mpya, iko vizuri tu. Ila cha ajabu kwenye kona juu kulia, inaonesha alama ya battery na 100%, sijui inamaanisha nini?
19 Reactions
47 Replies
3K Views
Na kenge, Umewahi kujiuliza au kusikia kwanini watu wanaotajwa kuwa ni matajiri duniani asilimia kubwa wanabackground ya mambo ya programming(kugonga code)?? Programming ni ujuzi wa kutengeneza...
21 Reactions
72 Replies
6K Views
Jamani ninashida na chemical Moja Ina it was FERRIC CHROLIDE
0 Reactions
1 Replies
267 Views
Salaam Wadau, Siku za hivi karibuni nimekuwa nikipata hii alert kwenye moja ya simu zangu ninazotumia, simu yangu ni Redmi Note 12. Je ina maanisha nini? Cc: Chief-Mkwawa
0 Reactions
2 Replies
548 Views
Leo ntakuonesha namna utakavyoweza kupata domain ya .com bure kwa mwaka mzima na pia hosting ya kudumu bure kabisa ya Tsh. 0. Fuata hatua zifuatazo kwa usahihi na kwa umakini ili kuvipata hivyo...
9 Reactions
28 Replies
7K Views
Kampuni ya TECNO Leo imetangaza kuwa itazindua Robot yake. Kaa tayari kwa uzinduzi wa TECNO Robot! Siku ya Leo! TECNO itazindua kwa mara ya kwanza mbwa wake wa kwanza wa roboti iliyoboreshwa kwa...
2 Reactions
0 Replies
586 Views
Nataka google pixel 3 xL au 3 a nimeona bei zake ni around 350K je ukiachana na camera hizi simu zinakaaje na chaji na je spars zake nirahisi kupatikana nahitaji detail kuhusu hizi simu google...
3 Reactions
52 Replies
15K Views
Mac Pro mpya ni game changer Kwa all creaters, 3D Animations, graphics designers, videos production . Apple wamekuja na chip Yao wenyewe from silicon na upanuzi wa PCIe kwa workflows Kazi za...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Tunatengeneza Website Mbalimbali kwa Bei nafuu na Ubora wa Hali ya Juu
0 Reactions
1 Replies
529 Views
Moja ya changamoto inawakumba wengi ni Window 10 Kuweza Kufanya Auto Update ambayo inaweza Chukua Bundle lako chap na Hii huwa inachukua zaid ya GB 2+ kufanya update, first time kutumia Hii Window...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
Naona Windows 10 inakula sana bando kila nikitumia modem kwenye PC tofauti na nilivyokuwa nikitumia Windows 8. Swali; Nini kinasababisha na njia zipi zitumike kutatua changamoto hii?
2 Reactions
11 Replies
803 Views
Habari wadau! Nina laptop yangu aina ya Dell ambayo USB ports zote zimegoma kabisa kufanya kazi.. Na hiyo laptop natumia external keyboard na mouse sababu keyboard yake imekufa. Sasa nikiwasha...
2 Reactions
6 Replies
727 Views
Naomba kuuliza kwa mafundi na wajuzi, ni TV aina ipi za kichina ni nzuri au zina afadhali, kwa ubora, uimara, picha nzuri nk kushinda nyingine maana nasikia nyingine hazitimii hata zile inches za...
5 Reactions
34 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ