Sijajua nina mkosi gani napd proxy

Sijajua nina mkosi gani napd proxy

Tembo2

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
530
Reaction score
911
Habar zenu wandug
Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo slow kutokana na eneo nlilopo? Now npo mwanza mjini. Au window nnatotumia coz wakat natumia pd nlikua natumia win7 now natumia 8. Inaniuma sana kuona watu wanaweka screen shot za hadi 1mb per sec wakati mi haijawahi ntokea. Msaada plz
 
Habar zenu wandug
Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo slow kutokana na eneo nlilopo? Now npo mwanza mjini. Au window nnatotumia coz wakat natumia pd nlikua natumia win7 now natumia 8. Inaniuma sana kuona watu wanaweka screen shot za hadi 1mb per sec wakati mi haijawahi ntokea. Msaada plz

hapo kwenye red unanifanya niwe na mashaka kama kweli wewe ni new member au ulikuwemo siku zote na ndo umesababisha yaliyokuta afu umekuja ku-spy zaidi kama kuna loops nyingine
 
Sorry nmekosea ni guru, hiv kila anayeuliza no spy?? Kuuliza ni vibaya? Nlionaaaa hapa ni mahari bora pa kuuliza kumbe nmekosea. Jamii nmejiunga nna kama wiki. Mi ni blogger na jamii nlikua naingia kucopy baadhi ya story za siasa na v2 vingine na kuweka kwa blog yangu hapo nikiwa natumia pd. Sasa majanga yamekuja baada ya kuhamia guru blog imedoda kiukweli hadi nakosa raha. Ni kama nyie mlivyoadicted na jamio mi npo adicted na blog yangu ikidoda nakosa raha. Samahani kama nimekosea kuuliza na nafikiria kuifuta hata hi akaunti coz nlichotegemea sicho nlichokipata
 
Tembo2 . hzo thread za vpn ni nying sana humu ndani na iman hata C6 ataifuta... zungumza na reseller wako achana na akil kama za sandru .
 
Last edited by a moderator:
Hebu nkuulize swali ndugu kwani ulivyokuwa unaanza kutumia hzo p**xy si ulinyoosha moja kwa moja kwa reseler

NB: ni vizuri kama ungemuuliza huyo reseller wako

NI MTAZAMO NDUGU CJAANDIKA KWA KULUMBANA


enjoy++

Habar zenu wandug
Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo slow kutokana na eneo nlilopo? Now npo mwanza mjini. Au window nnatotumia coz wakat natumia pd nlikua natumia win7 now natumia 8. Inaniuma sana kuona watu wanaweka screen shot za hadi 1mb per sec wakati mi haijawahi ntokea. Msaada plz
 
Asanteni sana ndugu zangu mmenikatisha moyo sana, hivi ukitaka kufuta post unafutaje coz nataka niifute hii niondow stress kwa kichwa changu
 
Sorry nmekosea ni guru, hiv kila anayeuliza no spy?? Kuuliza ni vibaya? Nlionaaaa hapa ni mahari bora pa kuuliza kumbe nmekosea. Jamii nmejiunga nna kama wiki. Mi ni blogger na jamii nlikua naingia kucopy baadhi ya story za siasa na v2 vingine na kuweka kwa blog yangu hapo nikiwa natumia pd. Sasa majanga yamekuja baada ya kuhamia guru blog imedoda kiukweli hadi nakosa raha. Ni kama nyie mlivyoadicted na jamio mi npo adicted na blog yangu ikidoda nakosa raha. Samahani kama nimekosea kuuliza na nafikiria kuifuta hata hi akaunti coz nlichotegemea sicho nlichokipata

Ungejua watu hii mada ya TG na PD isivyopendwa na mods wangekuwa Online huu mda ungeona imefutwa maana ziko chapter kama 100 juu ya hili iweje uje kuuliiza mambo yale yale
Unaposemma kufuta account hauji kushindana na mtu wala hamna anakubebembeleza kuwa na acc umejiunga mwenyewe umekaa chini na 2 balls zako ukajiunga mwenyewe sasa mambo ya kufuta acc ni juu yako

Hapa hautapata msaada wowote maana ma-spy ni wengi na mwema huwezi mjua Tuachie wakongwe na watu wenye kuaminika tuendeleee kukamua utamu na uroda
 
Kwa pd nlikua nanunua kwa kutumia card yangu ya benki nlikua siwajui maresel kajicho
 
Last edited by a moderator:
Kwa pd nlikua nanunua kwa kutumia card yangu ya benki nlikua siwajui maresel kajicho

setting za kufanya configuration kwenye pd yako ulipata wapi???,inawezekana ukawa husemi kweli??
 
Last edited by a moderator:
Hapa sizani kama ntapata msaada cha muhimu nisaidien jinsi ya kudelete posr hii
 
Kajichanganya mwenyewe anataka tu kujua kama kuna lolote wafunge tena
 
somehow kila nikiona thread mpya ya hizi subject, nachukia!, watu hawaelewi
 
Kwa pd nlikua nanunua kwa kutumia card yangu ya benki nlikua siwajui maresel kajicho

yaani kama ulikuwa unalipa kwa kadi ya benki maana ake si unafahamiana na hao watu watafute ili wakupe msaada sio kujaza post humu

enjoy++
 
Last edited by a moderator:
yaani kama ulikuwa unalipa kwa kadi ya benki maana ake si unafahamiana na hao watu watafute ili wakupe msaada sio kujaza post humu

enjoy++

Huyu ni Tembo tu mi bado napata utata inakuwaje mtu ajiunge humu jf juzi juzi tu then aanze kuulizia madude ambayo tayari yamefyatuka?
Nadhani huyu ni miongoni mwa wale mamruki tulio na mashaka nao so kaona bora afungue ID inginE ili aendelee kutunusa.
 
Afu mi naona kama hli jukwaa halimfai kama angeenda kuwa kaangia wa2 kwenye jukwaa la mapishi sio atuchanganyie habri

enjoy++

Huyu ni Tembo tu mi bado napata utata inakuwaje mtu ajiunge humu jf juzi juzi tu then aanze kuulizia madude ambayo tayari yamefyatuka?
Nadhani huyu ni miongoni mwa wale mamruki tulio na mashaka nao so kaona bora afungue ID inginE ili aendelee kutunusa.
 
Back
Top Bottom