Tembo2
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 530
- 911
Habar zenu wandug
Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo slow kutokana na eneo nlilopo? Now npo mwanza mjini. Au window nnatotumia coz wakat natumia pd nlikua natumia win7 now natumia 8. Inaniuma sana kuona watu wanaweka screen shot za hadi 1mb per sec wakati mi haijawahi ntokea. Msaada plz
Hii no post yangu ua kwanza kabisa katika web hii. Mwanzo nlikua natumia pd davo wakatuonea wivu. Now npo guru but tatizo ipo slow sana si kama pd. Sasa nlikua nauliza may b ipo slow kutokana na eneo nlilopo? Now npo mwanza mjini. Au window nnatotumia coz wakat natumia pd nlikua natumia win7 now natumia 8. Inaniuma sana kuona watu wanaweka screen shot za hadi 1mb per sec wakati mi haijawahi ntokea. Msaada plz