Wakuu namba yangu kuna kipindi niliitumia muda mrefu sana kwenye gb WhatsApp, ila zilivyoanza zile ban niliachana nayo nikadownload official whatsapp.
Sasa changamoto niliyonayo, namba kwenye...
Kichwa Cha habari hapo wakuu kinajieleza nataka Kujua Hawa wakina Mpemba og, side kama side Huwa wanatumia software gani kuingiza maneno Yao ?!?
Nawasilisha swali na kama hujui kama Mimi Kaa kimya .
Mimi ni mpenzi mkubwa Sana wa simu za android na simu yangu pendwa ni Samsung lakini huku tunakoelekea naona kabisa nitaisaliti chama.Sababu ni kuwa Samsung wanaiga vitu vingi Sana ambavyo havina...
This is completely unethical and illegal, firstly
1)Get kali linux
2)Get InstaBrute, an instagram bruteforce tool
3)Hack into his/her account
InstaBrute is a Instagram bruteforce exploit...
Sikujua ni leo baada ya kupitia kwenye steampowered ndio nimezikuta.
days gone ambayo niliitamani sana kuicheza inapatikana kwa bei punguzo kutoka usd 49 hadi kwa usd 24 tu kwasasa.
Zingine ni god...
Nimekuwa Nikipata tatizo naweka bando ndani ya muda Mchache naambiwa nimefika asilimia 70 ya kiwango Cha matumizi.
Nikaanza kupunguza matumizi ya YouTube na App zingine za video ila Cha ajabu...
What is your montly data usage?
Hii ni kwa PC, kwa simu naona ni 15.6 GB.
Matumizi yako ya data ni kiasi gani kwa mwezi na huwa unatumia zaidi data kwa shughuli gani?
Unakumbuka zile filamu tulizokuwa tunaangalia ambapo watu wanaishi na robot kama sehemu ya familia zao? Well, polepole hali hiyo inakaribia kuwa ukweli. Teknolojia inakimbia kwa kasi ya ajabu, na...
...wakubwa naomba shule kidogo. Assume nahitaji kununua flagship phones (sina pesa ya kununua mpya) let us say Samsung Note 20, je utanishauri nichukue refub or used?
Mwenye shule poa atusaidie...
Wakubwa kwa aliewahi kutumia hii app ya Spotify kusikilizia muziki vipi nyimbo za Tanzania zipo humo au ni za mbele tu maana nimetoka kuifatilia mbali app ya boomplay kwa kuchoshwa na Ads kila...
Wadau! Mambo ya teknolojia sio kila mtu anayajua. Ninataka kununua TV. Katika kufanya window shopping, jamaa mmoja ananiambia..hii TV (anaitaja brand) ni nzuri sana, halafu ni 4K UHD. Nikamuuliza...
Wakuu habari za muda huu? Nataka kununua Tv lakini sijui nizingatie nini katika kununua, ukizingatia sijawahi kununua Tv kabla.
Pia naomba tofauti kati ya android na smart Tv ipi ni bora kwa...
ITS iphone guys!!
probably the most overhyped mobile phone of all times!!it somehow lives up to its hype.and somehow below par.
BUT all in all it sets a whole new level of how mobile...
Kwema viongozi. Kama inavyojieleza,
Nikiwasha laptop inawaka lakini inaishia hapo kwenye BlacKScreen, wakati nilikuwa naitumia vizuri tu nikaizima. Kuwasha ndio kila nikijaribu inaishia kwenye...
Wakuu heshima kwenu, naomba anae jua app inayo tumika kucholea ramani za mashamba kutumia coordnets , nimeshasoma gps za kila kona nataka kuchora ramani na kujua ukubwa
Nawasilisha
Leo Jumatatu Septemba 12, saa 2 Usiku, watumiaji wote wa iPhone 8 mpaka iPhone 14 wameanza kupata mfumo mpya wa iOS 16.
iOS 16 ni mfumo mpya wa iPhone za mwaka huu, na mwaka jana ilikuwa ni iOS...
Kwa wale wenye uelewa wa crypto & blockchain je kuna uwezekano wa kuibuka algorithmic decentralized stablecoin itakayoweza kushindana na UST
Najilaumu sana kutoinunua luna mapema maana inaonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.