Spotify vs boomplay

Nyamwage

JF-Expert Member
Oct 16, 2020
634
1,535
Wakubwa kwa aliewahi kutumia hii app ya Spotify kusikilizia muziki vipi nyimbo za Tanzania zipo humo au ni za mbele tu maana nimetoka kuifatilia mbali app ya boomplay kwa kuchoshwa na Ads kila baada ya second kadhaa.

Kilicho nifanye niifute imenikera sana leo nimekutana na mtu tunafahamia sasa nataka niweke pause wimbo ili nimsalimie huku tunapishana nimeweka finger kuunlock screen ili nistopishe muziki mara ghafla linatokea tangazo la sportpesa tena lina sauti ya juu kuliko muziki niliokua na sikiliza na tangazo lenyewe huwezi kuskip mpaka limalize aisee imenikera sana nikaamua kuvua vifaa vya masikioni
 
spotify ni nzuri ila kama hujalipia utaboeka zaidi ya boomplay.
sababu za kukuboa
1.huezi play nyimbo uliyosearch watashuffle ata nyimbo tatu then ndio uje huo.
2.unaruhusiwa kuskip nyimbo tano tu kwa lisaa limoja
3.huezi save offline utakua unaplay tuh.
 
Kama unatumia Android, download Spotify Premium Mod APK. Hapo utapata Premium features zote bila kulipia.

Mimi natumia Spotify Lite Premium.
20231120_193729.jpg
 
Ma IT, wabongo bila pirates mambo hayaendi
Hahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.

Binafsi naheshimu sana watu wanaolipia hizi huduma kwasababu ndiyo wanafanya Spotify inaendelea kufanya kazi na wasanii kupata stahiki zao.
 
Hahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.

Binafsi naheshimu sana watu wanaolipia hizi huduma kwasababu ndiyo wanafanya Spotify inaendelea kufanya kazi na wasanii kupata stahiki zao.
Ni Kweli tuwashukuru wanaotengeza cracks software, la sivyo Africa tungekoma
Image ulipie Adobe, Microsoft, acrobat, Maya etc mwaka mzima 😂 sizani kama tungetoboa,

Kilichobaki Ku crack ni DStv, Azam
 
Hahah! Piracy kwenye 3rd World Country ni kitu cha kawaida kabisa. $6 huko kwa wenzetu na kwa wachache hapa bongo wanaweza kumudu kulipia kwa ajili ya muziki tu.

Binafsi naheshimu sana watu wanaolipia hizi huduma kwasababu ndiyo wanafanya Spotify inaendelea kufanya kazi na wasanii kupata stahiki zao.
Spotify imekuwa mwiba kwa wasanii siku hizi yaani hamna maokoto ni ubepari tu mwenye nacho ndio anapewa kama hauna hata ulichodhani cha kwako kinachukuliwa
 
Ni Kweli tuwashukuru wanaotengeza cracks software, la sivyo Africa tungekoma
Image ulipie Adobe, Microsoft, acrobat, Maya etc mwaka mzima 😂 sizani kama tungetoboa,

Kilichobaki Ku crack ni DStv, Azam
ishi na watu vizuri broh... watu wameshafanya hilo🤭🤣🤭🤣🤭
 
Back
Top Bottom