iOS 16 imeshatoka, haya ndio mabadiliko yaliyomo

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
Leo Jumatatu Septemba 12, saa 2 Usiku, watumiaji wote wa iPhone 8 mpaka iPhone 14 wameanza kupata mfumo mpya wa iOS 16.

iOS 16 ni mfumo mpya wa iPhone za mwaka huu, na mwaka jana ilikuwa ni iOS 15.
1663007614333.png

๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ ๐—ถ๐—ข๐—ฆ ๐Ÿญ๐Ÿฒ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜†๐—ผ:

๐Ÿ”˜ Mwonekano mpya

๐Ÿ”˜ Sehemu ya Lock Screen itakuwa na uwezo wa kubadilika kuendana na mtumiaji anavyotaka katika design mbalimbali. Kwa mara ya kwanza Apple inaweka option ya kubadilisha aina ya fonts za saa ya Lock Screen, unaweza kuweka emoji, weather na map kuwa wallpaper.

๐Ÿ”˜ Sehemu ya Lock Screen itakuwa inaonyesha Widgets

๐Ÿ”˜ Watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengeneza Folder ya picha ambayo ipo shared kwa mtumiaji zaidi ya mmoja. Mfano folder ya familia

๐Ÿ”˜ iMessage ina uwezo wa ku-edit message

๐Ÿ”˜ iMessage ina uwezo wa kufuta message ambayo umeituma

๐Ÿ”˜ App ya Email ina uwezo wa kufuta email ambayo umeituma na kuchagua itume email muda ambao unataka wewe (schedule send)

๐Ÿ”˜ iOS 16 ina mfumo mpya wa Passkeys. Hii itasaidia kuingia katika website na akaunti zako bila kulazimika kutumia password

๐Ÿ”˜ Photo app ina uwezo wa kutengeneza PNG, unaweza ku-copy sehemu ya picha na inaweza kutambua watu na wanyama. Hivyo unaweza ku copy mtu katika picha bila kuchukua details za piembeni

๐Ÿ”˜ App ya Health ina sehemu ya kuweka kumbukumbu ya kukusaidia kukumbusha kumeza dawa - Medications.

๐Ÿ”˜ Ina uwezo wa kusoma vibao, kubadili currencies, na ina uwezo wa kusoma texts kwa watu wasioweza kuona.

๐Ÿ”˜ Mabadiliko mapya katika apps za Maps, Stocks, FaceTime na apps zote za iPhone.

Na mabadiliko mengi ambayo mengine sijayaweka hapa kwa sababu ni ya kawaida.

Tayari imetoka, jinsi ya kucheck nenda katika sehemu ya
Settings > General > Software Update
kisha utafuata maelekezo.
 
Leo Jumatatu Septemba 12, saa 2 Usiku, watumiaji wote wa iPhone 8 mpaka iPhone 14 wameanza kupata mfumo mpya wa iOS 16.

iOS 16 ni mfumo mpya wa iPhone za mwaka huu, na mwaka jana ilikuwa ni iOS 15.
View attachment 2354911
๐—ž๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ ๐—ถ๐—ข๐—ฆ ๐Ÿญ๐Ÿฒ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฑ๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐˜†๐—ผ:

๐Ÿ”˜ Mwonekano mpya

๐Ÿ”˜ Sehemu ya Lock Screen itakuwa na uwezo wa kubadilika kuendana na mtumiaji anavyotaka katika design mbalimbali. Kwa mara ya kwanza Apple inaweka option ya kubadilisha aina ya fonts za saa ya Lock Screen, unaweza kuweka emoji, weather na map kuwa wallpaper.

๐Ÿ”˜ Sehemu ya Lock Screen itakuwa inaonyesha Widgets

๐Ÿ”˜ Watumiaji watakuwa na uwezo wa kutengeneza Folder ya picha ambayo ipo shared kwa mtumiaji zaidi ya mmoja. Mfano folder ya familia

๐Ÿ”˜ iMessage ina uwezo wa ku-edit message

๐Ÿ”˜ iMessage ina uwezo wa kufuta message ambayo umeituma

๐Ÿ”˜ App ya Email ina uwezo wa kufuta email ambayo umeituma na kuchagua itume email muda ambao unataka wewe (schedule send)

๐Ÿ”˜ iOS 16 ina mfumo mpya wa Passkeys. Hii itasaidia kuingia katika website na akaunti zako bila kulazimika kutumia password

๐Ÿ”˜ Photo app ina uwezo wa kutengeneza PNG, unaweza ku-copy sehemu ya picha na inaweza kutambua watu na wanyama. Hivyo unaweza ku copy mtu katika picha bila kuchukua details za piembeni

๐Ÿ”˜ App ya Health ina sehemu ya kuweka kumbukumbu ya kukusaidia kukumbusha kumeza dawa - Medications.

๐Ÿ”˜ Ina uwezo wa kusoma vibao, kubadili currencies, na ina uwezo wa kusoma texts kwa watu wasioweza kuona.

๐Ÿ”˜ Mabadiliko mapya katika apps za Maps, Stocks, FaceTime na apps zote za iPhone.

Na mabadiliko mengi ambayo mengine sijayaweka hapa kwa sababu ni ya kawaida.

Tayari imetoka, jinsi ya kucheck nenda katika sehemu ya
Settings > General > Software Update
kisha utafuata maelekezo.
Leo baada ya kuiupgrade kwenye 13 pro max kila nikishutdown inaniletea Siri hadi niende General sertings ndio inazima
 
Mbona hayo mambo na izo update ni common sana kwa baadhi ya simu za Android iPhone bana wanateseka na mambo madogo madogo ambayo kwa sisi wa android hizo ni common features and unnecessarily.

IoS ni gereza lisilo na walinzi, lina mateso ndani yake na kila aina ya utumwa, lkn wafungwa wanajipeleka wao wenyewe, na hata mageti ya kutoroka yako wazi, lkn wafungwa wa kujitakia hawatak kutoroka, ila wanagugumia maumivu wakijisifu kwa uzuri na ufahari wa majengo ya hilo gereza.

Maajabu ni pale mtu wa iphone 8,iphn-x unakuta anamdharau mtu wa Google pixel 6 or samsung s20
 
Mimi ni mpenzi w Samsung sana hasa high ends. Mwaka huu nikapanga nihamie Iphone baada ya iphone 14 ili ni-test the difference, matokeo yake hakuna cha maana chochote kipya cha kunivutia kwenda huko tena.

Yaani vitu ama features ambazo Samsung tunazo miaka 4 au 5 huko nyuma ndio zinaletwa leo halafu watu wanaambiwa ni new upgrade na kweli watu wanashangilia?

Aisee, kweli huu sasa ni ukondoo.
 
Mbona hayo mambo na izo update ni common sana kwa baadhi ya simu za Android iPhone bana wanateseka na mambo madogo madogo ambayo kwa sisi wa android hizo ni common features and unnecessarily.

IoS ni gereza lisilo na walinzi, lina mateso ndani yake na kila aina ya utumwa, lkn wafungwa wanajipeleka wao wenyewe, na hata mageti ya kutoroka yako wazi, lkn wafungwa wa kujitakia hawatak kutoroka, ila wanagugumia maumivu wakijisifu kwa uzuri na ufahari wa majengo ya hilo gereza.

Maajabu ni pale mtu wa iphone 8,iphn-x unakuta anamdharau mtu wa Google pixel 6 or samsung s20
Ukiwa mtumiaji wa android alafu una mindset ya kimaskini na kujishtukia ni taabu sana. Mdau kaleta uzi kwa lengo la kuwahabarisha watu lkn wewe umekuja hapa na negativity mara sijui sio mambo ya ajabu? Hivi ukikaa kimya utapungukiwa nini? Ukiona hadi leo hii unababaishwa bado vitu kama simu na unavihusisha na hali za watu basi unatakiwa ujitafakari sana.
 
Nawashauri msiupdate kwanza, subirini hata mwezi, update za kwanza zinakuwaga unstable sometimes. Kwa sasa hivi 16.0 ukisubiri hata 16.1 hivi itakuwa poa zaidi maana wanakuwa wamefix vitu vingi.
Ilishatoka developer preview na walishafix ishu nyingi tu.

Ya sasa ni salama tu.
 
Ukiwa mtumiaji wa android alafu una mindset ya kimaskini na kujishtukia ni taabu sana. Mdau kaleta uzi kwa lengo la kuwahabarisha watu lkn wewe umekuja hapa na negativity mara sijui sio mambo ya ajabu? Hivi ukikaa kimya utapungukiwa nini? Ukiona hadi leo hii unababaishwa bado vitu kama simu na unavihusisha na hali za watu basi unatakiwa ujitafakari sana.
Mfumo wa elimu ubadilishwe.

Wenzao wanalishwa mlo kamili wao wanashindiliwa ugali maharage.

Matokeo ndo hayo.

Kujiona wanajua kila kitu na tecno zao.
 
Mbona hayo mambo na izo update ni common sana kwa baadhi ya simu za Android iPhone bana wanateseka na mambo madogo madogo ambayo kwa sisi wa android hizo ni common features and unnecessarily.

IoS ni gereza lisilo na walinzi, lina mateso ndani yake na kila aina ya utumwa, lkn wafungwa wanajipeleka wao wenyewe, na hata mageti ya kutoroka yako wazi, lkn wafungwa wa kujitakia hawatak kutoroka, ila wanagugumia maumivu wakijisifu kwa uzuri na ufahari wa majengo ya hilo gereza.

Maajabu ni pale mtu wa iphone 8,iphn-x unakuta anamdharau mtu wa Google pixel 6 or samsung s20
Nilikuwa mtumiaji wa iPhone mzuri na ulikuwa huniambii kitu kuusu iPhone hasa linapojuja swala la camera portrait video etc.lakini tangu nilipoinunua Google pixel Kwa mara yakwanza iPhone ni ukitoa mvuto na muoneoano ni hamna kitu Google pixel ni mashine.
 
Ilishatoka developer preview na walishafix ishu nyingi tu.

Ya sasa ni salama tu.
Mara nyingi inashauriwa hivyo, kwa sababu battery inaweza kuoverheat, ama battery life kupungua kwa haraka sana. Hii ishu niliipitia kwenye iOS 15.
 
Back
Top Bottom