Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Rais wa Uganda, Yoweli Kaguta Museveni, ameagiza taasisi husika, kufungua mipaka ya nchi hiyo, na upande wa Congo chini ya uongozi wa M23. Hii inamaanisha, biashara na safari za kuvuka...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Umezaa na mtu, au ni mmeo,af unamletea nyodo kwamba anatoa hela ndogo au hakuridhishi. Unapata mchepuko,anaekuridhisha, na hela ndogo hiyounayopewa na uliezaa nae,hakupi mchepuko. Mwenye kukupa...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Eti kabla ya kwenda jela miaka 30,kisa kummimbisha mwanafunzi,unatakiwa ukumbuke haya: -kila mimba,ni ya mwanaume. -Lakini kila mtoto akizaliwa,ni wa mwanamke.
0 Reactions
0 Replies
105 Views
Rais William Ruto ameagiza polisi nchini Kenya kutumia nguvu zaidi dhidi ya watu wanaojihusisha na uporaji au uharibifu wa mali wakati wa maandamano, akisema kuwa wanaopatikana wakifanya vitendo...
0 Reactions
0 Replies
125 Views
GHARAMA ZA KUTOKA NA MCHEPUKO 1.Usafiri 10,000 2.Chumba Lodge 30,000 3.Chakula + Vinywaji 30,000 4.Asante Kwa Kuja 50,000 Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Olivier Nduhungirehe, waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, akiongea na waandishi wa habari, alisema, taarifa zote za uwepo wa FDLR na walipo, Rwanda inazo. Waliopo jeshini, walioingizwa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
99 Views
Katika yaliyomo, ni kwamba FDLR si kundi la waliohusika na mauwaji dhidi ya watutsi, kama inavyoituhumu serikali ya Rwanda, bali ni kundi lililoanzishwa mwaka 2000 kwa ajiri ya kuwalinda wakimbizi...
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Tangazo lililotolewa na serikali ya Kidemoklasia ya Congo, linaitaka nchi jirani ya Rwanda, kuhakikisha inaondoa wanajeshi wake chini humo,kablabya siku 90. Kushindwa kutekeleza agizo hili...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
Katika Mkutano na Waandishi wa habari Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amekea wanaotegemea wachawi na kuhisi wao ndio wanaowapa ushindi badala ya kutegemea mafunzo na maandalizi mazuri kwenye...
0 Reactions
1 Replies
174 Views
Tanzania yashika nafasi ya kwanza. Nchi tatu za mwisho Kabisa, ni Sudan, Sudan kusini na DRC
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Sauti ya marehemu Col. Karegeya, anayesemekana kuuawa na serikali ya Rwanda huko Afrika kusini, alipoulizwa na mwandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Ingabire kugombea, alijibu kwamba huyo...
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Kwa muda wa siku 7, yaani tarehe 1 hadi 7 mwezi Julai, 2025, Wanyarwanda walioajiliwa serikalini, walipata muda wa mapumziko, kwa ajili ya kuadhimisha sikukuu za uhuru na kujikomboa, zilizoangukia...
0 Reactions
1 Replies
129 Views
Nyerere alisema Maskini hana cha kupoteza, na Binadamu akichanganikiwa ni hatari kuliko kitu chochote Duniani, moja ya visababishi ni utawala wa mabavu na umaskini wa kupitiliza. Gen - Z ni kizazi...
0 Reactions
2 Replies
158 Views
Nasikiaga wanaume wawili tu ndo wenye uhakika wa kula hela za mwanamke: 1. MCHUNGAJI 2.MGANGA WA JADI Kama kuna kaukweli vile
1 Reactions
1 Replies
219 Views
Kati ya vitu ambavyo huwa sivielewi ni tabia zetu sisi Waafrika na watu wote wenye asili ya Afrika linapokuja suala la maendeleo, huwa tupo tofauti na watu wa mabara mengine kama Asia na Ulaya...
0 Reactions
1 Replies
109 Views
KAMA ULIKUWA HUJUI VIZURI MAAJABU YA BODABODA WACHA NIKUFAHAMISHE: 1) Bodaboda ndio usafili ambao muda wote dereva anataka kuwahi, Ukimuuliza unataka kuwahi wapi hata yeye hapajui, 2) Bodaboda...
0 Reactions
1 Replies
211 Views
Abarenga 40 baguye mu gitero cy'indege Israel yagabye aho abantu biyakirira ku mazi muri Gaza, abandi 75 barakomereka.Byatangajwe n'umuyobozi w'ibitaro bya Al-Shifa, Dr. Mohammad Abu Silmiya...
0 Reactions
1 Replies
153 Views
Huku DRC ikisaini makubaliano ya amani na nchi ya Rwanda, siku ya jana, imeripotiwa kuwa serikali ya DRC,kupitia jeshi lake la FARDC, walidungua ndege, iliyokuwa imebeba misaada ya dawa za...
0 Reactions
1 Replies
225 Views
Jamhuri ya Rwanda kupitia Wizara ya Elimu iliteuliwa kuwa mwenyeji wa Maadhimisho ya nne ya Siku ya Kiswahili Duniani. Kwa kuzingatia utaratibu wa kupokezana uenyeji kati ya Nchi Wanachama wa...
0 Reactions
1 Replies
169 Views
Back
Top Bottom