Women, when you give your husband peace at home, he thinks well and performs better.
He is always at his best and focused; he is able to pursue his plans and achieve more.
He becomes a better...
Mama wa mtoto mmoja, niliolewa lakini nilishindwana na mume wangu kutokana na tabia zake za umalaya, alikua ni mtu wa wanawake sana nikaamua kuondoka na kudai talaka.
Tuliachana mwaka juzi...
Hasira ni hisia ya kawaida ya kibinadamu, lakini namna tunavyoikabili ndiyo huamua kama tunajiumiza,tunajiponya ama kuwaumiza wengine.
Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua wa kukusaidia...
Mwanamke usijaribu kutafuta pesa kwa lengo la kushindana na mwanaume.
Kumbuka kutafuta pesa kukabiliana na changamoto za maisha yako na kutatua shida zako mwenyewe bila kumtegemea mwanaume...
Mwanaume tafuta mwanamke ambaye anafanya haya mambo saba
1. Mwanamke ambaye anakuheshimu
2. Mwanamke anayejivunia kukupenda na kuonesha upendo wake kwako sirini na hadharani.
3. Mwanamke ambaye ni...
Wanaume wanaojitambua ni wachache sana siku hizi. Sio rahisi hata kidogo kumpata mwanaume anayejitambua siku hizi. Kumpata mwanaume anayejitambua kunakuja na gharama yake, lazima ukubali kulipa...
Leo tarehe 23 July, 2025, huko Rutshuru, Kivu kasikazini,toka alfajili, inasikika milio ya bunduki nzito. Ni kati ya AFC/M23 na makundi wa Wazalendo na FDLR.
Kivu kusini na kwenyewe,huko Masisi...
Katika uchaguzi wa kuwapata senetaz wapya, nchini Burundi, uchaguzi uliofanyika jana tarehe 23 Julai 2025, umewaacha wagombea wa chama tawala cha CNDD-FDD wakichaguliwa bila upinzani kupata nafasi...
Mwanaume pia ni mtoto wa mtu.
Mliskia wapi bibilia ikisema mwanaume atunze mwanamke na mwanamke asimtunze?
Mke ni msaidizi wa mwanaume; so pia mwanamke amtunze mumewe,ndoa ni kusaidiana muache...
Mwanamke aliyekukataa awali ni kwa sababu hakuona thamani yako. Kama ukiona ameamua kurudi kwako sio kwa sababu sasa ameona thamani yako, bali ni kwa sababu chaguo lake la awali lilifeli na sasa...
Zamani mwanaume alikua anaoa sababu ya upendo...
Na mwanamke alikua na uwezo wa kuolewa na mtu asiyempenda na maisha yakasonga.
Lakini saivi mwanaume anaoa mwanamke ambaye anajua anafaa kua mama...
Ushauri wa bure kwako mwanaume: sio kila mwanamke anaekubali umuoe ni kweli anakupenda au anaipenda hio ndoa; la hasha. Pengine kaona uko kwenye njia ya mafanikio, umuoe aombe talaka mgawane...
Wanaume wengi hawavai vizuri si kwa sababu hawapendi fashion,
Bali maisha yamewavalisha majukumu hadi wamesahau hata kujinunulia shati jipya.
Wanakaa kimya, hawalalamiki…
Kwa sababu...
Hatuwezi ,,Hatuwezi ,, Hatuwezi kuwa sawa na wanaume ..Leo mwanamke unamkuta kaajiriwa mwanaume anapambana anavojua yeye Lkn bado ile pesa ya mwanaume unaikodolea macho ...Kuna Wanawake...
When you say your husband is abusing you in that marriage, many men were very nice to their women at first; they treated their women nicely.
However, some husbands started misbehaving as a...
SIKU MKEO AKIANZA KULALA NA MWANAUME MWINGINE JUA KIFO CHAKO KI KARIBU.......
"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi kuchepuka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.