Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Jeshi la Somalia, limewanyonga wanajeshi wawili waliokutwa na hatia ya kujihusisha na kundi la waasi la Al-Shabab. Walikutwa na hatia baada ya kiongozi wao Aided Mohamed Ali, kuuwawa, na hatimae...
1 Reactions
2 Replies
160 Views
Mwanaume akihamisha hisia anaanza kukuona kama ndugu yake, hata ukae uchi mbele zake, hujisikia kinyaa. Halafu mwanaume huwa hapendi makelele kwenye nafsi yake, ukimtamkia maneno ya shombo, matusi...
1 Reactions
2 Replies
172 Views
Chukua simu ya mke wako alafu mtumie meseji rafiki yake andika "Daah shost nina mimba" Likija swali: "Ya nani hiyo shoga"? Chukua karatasi na kalamu anza kuandika talaka
1 Reactions
2 Replies
130 Views
Mwanamke asiye na marafiki wengi anaweza kuwa na sifa mbalimbali, ambazo si lazima ziwe hasi au chanya, zinategemea muktadha wa maisha yake, tabia yake, na mazingira yanayomzunguka. Hapa kuna...
0 Reactions
1 Replies
255 Views
Mpaka sasa, wapiganaji wa M23 wapo Kaniola, huko Kivu kusini, umbali wa km 53 tu kutoka mji wa Uvira. Eneo hilo liliangukia mikononi mwa wapiganaji hao, baada ya mapigano kati yao na jeshi la DRC...
0 Reactions
1 Replies
176 Views
Hili swali binafsi najiuliza lakini jibu sipati. Mmoja akiwa + na mwingine -, huku wana watoto, nini cha kufanya? Maana kuna wakati ukizingatia, nguvu ya kuachana haipo. Kuzagamuana, hakukwepeki...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Kiwete ametembea na mke wa kipofu na aliyeona ni bubu
0 Reactions
1 Replies
146 Views
Brothers ipo hivi: Mwanamke ukimuelewa na akaanza kukuletea mambo meusi, wala usihangaike. Downlaod app ya mkopo, kopa tu. Af, namba yake iweke kama mdhamini wako. Deni usilipe. Ataanza...
0 Reactions
1 Replies
121 Views
Uwanja wa ndege wa Nzibira, huko Kivu kusini, uliopo katika eneo lililokuwa likilindwa na Wazalendo kushilikiana na jeshi la Burundi, jana tarehe 10 August, ulibaki mikononi mwa M23 baada ya...
0 Reactions
1 Replies
242 Views
Mwanaume ukiwa na akili sana kwenye mahusiano huwa anajaj sna ,hua na question sana,hua anakua active sana kiakil, kiutimam kitu ambacho kina mpa wakati mgumu mwenza wako hasa wale ambao...
0 Reactions
2 Replies
139 Views
Ni hilo tu. Chaguo sahihi, ni mafanikio. Ukikosea, majuto boda wako.
1 Reactions
16 Replies
428 Views
Ngono si mapenzi, kwenda kwenye miadi si mapenzi, kuzungumza na mtu kila wakati si mapenzi, wala kukesha usiku kucha kwa ajili ya mtu si mapenzi.Mapenzi ni pale mtu anapokuona kwa udhaifu wako...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
1. Mwanamke mwenye mdomo, anaongea kuliko kawaida (umbea umbea) 2. Anayeamini uchawi (mshirikina) 3. Mwanamke anayependa hela kama ATM Mwanamke aliyeweka pesa mbele ni ngumu kudumu nae kwenye...
0 Reactions
1 Replies
162 Views
Mapenzi ndo darasa pekee binadamu huingia na roho nzuri, lakini anatoka katili. Kwa nini? Mwalimu ndo hafai? Tena wengine unafundishwa na uchawi kabisa.
0 Reactions
1 Replies
97 Views
Tukiwa Single, hamtutaki. Tukishapata mtu, mnatutext hata usiku ili tushikwe tuwe tena ma single. Mna nini? Nda yale ya yule mnyama anaetambua umhimu wa mkia unapokuwa umekatika!!!
0 Reactions
1 Replies
123 Views
Nani anabisha? Mme hukumu ya miaka 20. Mke anawaza aolewe,abaki amlelee mfungwa?! Mfungwa nae anawaza watoto wake wataenda wapi! Mwenake ataoa/kuolewa? Ataenda na watoto, je siku akitoka...
0 Reactions
1 Replies
115 Views
Back
Top Bottom