Mchumba wangu Alinipigia simu!
Hello baby, nina njaa sana muda huu.
Samahani unaeza kuja kwangu muda huu , na wakati unakuja naomba uniletee kuku dear.
Bila kupoteza muda, ilianza kutafuta...
Msichana mwenye umri wa miaka 11 aligundua kwamba alikuwa ameanza kuota nywele kati ya miguu yake, akawa na wasiwasi na kumuuliza Mama yake kuhusu nywele hizo. Mama yake akamwambia kwa utulivu...
Mabadiliko haya,yanapunguza kwa kiasi kikubwa muda wa watoto kukaa darasani. Kutoka saa tatu,sasa hivi wanafunzi wa asubuhi,wataingia darasani saa mbili. Watatoka saa tano na nusu,kwa ajili ya...
Ni baada ya kutangaza kwamba, mpaka mwisho wa mwaka huu, magari ya abiria yanayotumia mafuta, na pikipiki maarufu kama bpda boda, havitaruhusiwa tena kuingizwa jijini kwa ajili ya shughuli ya...
Jijini Kigali, Hoapitali ya CARAES Ndera,inayojihusisha na tiba ya magonjwa ya akili na mishipa, imetangaza kupata ongezeko kubwa la wanaotafuta huduma, wengi wao wakiwa vijana chini ya miaka 30...
Hivi, kwa anaejua matumizi ya hizi dawa za sindano, ina maana hata mtu akiwa ana HIV, unazagamua bila hofu au vipi? Ukishachoma! Ina maana, wazinzi wamewekwa sehemu salama?
Duniani tunalizwa na mengi, na ni mabaya toka kwa maadui zetu.
Machozi hayawezi kuisha, kwa sababu mama yao na maadui zetu, hubebeshwa mimba kila mmoja anapokuwa amezaliwa
Ikiwa kwa jirani wana maisha haya, na wewe unayewaangalia unachekelea, kesho keshokutwa, itakuwaje ikifika zamu yako?
Matukio mengine ya kukemea. Mtu anahangaika na kula tuuuu, wenye hela...
Pichani, ni ndege ya kivita, aina ya Sukhoi SU-25, iliyokuwa imetelekezwa na FARDC baada ya M23 kuifukuza Goma. Iliachwa kwa sababu ya hitilafu. Kwa sasa, ndege hiii nasemekana kufanyiwa...
Ni tangazo lililotolewa na msemaji mkuu wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya.
Amesema wanazo taarifa za uhakika za kila kinachoendelea. Hata hivyo, inasemekana kushirikiana na serikali ya Burundi...
Maji safi na salama kwa wakazi wa Kanombe, jijini Kigali.
Mamlaka husika, ilionywa kwa tuhuma za kupoteza zaidi ya bilioni 7 za maji masafi, yaliyoandaliwa, yakaishia njiani bila kuwafikia...
Mwanamke, ana nini cha kumpa mwanaume?
Iko hivi, mwanamke ana majukumu mawili kwa mwanaume wake:
-Kuvuruga mwanaume akiwa ametulia na
-Kumutuliza akiwa amevurugwa
Najua wengine watasema ni...
Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ambae ni mpatanishi katika mzozo wa kisiasa kati ya Rwanda na Congo,leo amemtembelea rais Kagame wa Rwanda. Ni katika juhudi za kutafuta suruhu la kudumu,ili...
A. Le M23 ne reculera plus de ses positions. Il n'est donc pas question de quitter le Nord ou le Sud-Kivu.
M23 haitatoka katika maeneo iliyo nayo mpaka sasa,kwa maana ya Kivu Kaskazini na Kivu...
Ma ofisa wakuu wa jeshi,wapo hatarini,badhi yao wakiwa wanasakwa huku wengine wakikamatwa. Wanakabiliwa na tuhuma na njama za jalibio la kupindua uongozi wa Tshisekedi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.