Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Aliekuwa waziri nchini DRC, aliehakikisha vibaka wanahukumiwa kifo na kunyongwa, leo anakaa nao kiti kimoja kusikiliza kesi inayomkabili.
0 Reactions
1 Replies
75 Views
Mchumba wangu Alinipigia simu! Hello baby, nina njaa sana muda huu. Samahani unaeza kuja kwangu muda huu , na wakati unakuja naomba uniletee kuku dear. Bila kupoteza muda, ilianza kutafuta...
2 Reactions
4 Replies
235 Views
Msichana mwenye umri wa miaka 11 aligundua kwamba alikuwa ameanza kuota nywele kati ya miguu yake, akawa na wasiwasi na kumuuliza Mama yake kuhusu nywele hizo. Mama yake akamwambia kwa utulivu...
1 Reactions
2 Replies
154 Views
Mabadiliko haya,yanapunguza kwa kiasi kikubwa muda wa watoto kukaa darasani. Kutoka saa tatu,sasa hivi wanafunzi wa asubuhi,wataingia darasani saa mbili. Watatoka saa tano na nusu,kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Ni baada ya kutangaza kwamba, mpaka mwisho wa mwaka huu, magari ya abiria yanayotumia mafuta, na pikipiki maarufu kama bpda boda, havitaruhusiwa tena kuingizwa jijini kwa ajili ya shughuli ya...
0 Reactions
3 Replies
160 Views
Jijini Kigali, Hoapitali ya CARAES Ndera,inayojihusisha na tiba ya magonjwa ya akili na mishipa, imetangaza kupata ongezeko kubwa la wanaotafuta huduma, wengi wao wakiwa vijana chini ya miaka 30...
0 Reactions
1 Replies
102 Views
Nchi moja jirani imewaonyesha watu hawa kama kikundi hatarishi kwa usalama wake.
0 Reactions
2 Replies
92 Views
Hivi, kwa anaejua matumizi ya hizi dawa za sindano, ina maana hata mtu akiwa ana HIV, unazagamua bila hofu au vipi? Ukishachoma! Ina maana, wazinzi wamewekwa sehemu salama?
0 Reactions
1 Replies
61 Views
Duniani tunalizwa na mengi, na ni mabaya toka kwa maadui zetu. Machozi hayawezi kuisha, kwa sababu mama yao na maadui zetu, hubebeshwa mimba kila mmoja anapokuwa amezaliwa
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Kwa namna wanawake wengi wanavyopenda pesa, na sasa hivi imekuwa ngumu, kutofautisha mwanamke anaejiuza na mwenye mapenzi ya kweli si rahisi tena.
0 Reactions
1 Replies
192 Views
Ikiwa kwa jirani wana maisha haya, na wewe unayewaangalia unachekelea, kesho keshokutwa, itakuwaje ikifika zamu yako? Matukio mengine ya kukemea. Mtu anahangaika na kula tuuuu, wenye hela...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Pichani, ni ndege ya kivita, aina ya Sukhoi SU-25, iliyokuwa imetelekezwa na FARDC baada ya M23 kuifukuza Goma. Iliachwa kwa sababu ya hitilafu. Kwa sasa, ndege hiii nasemekana kufanyiwa...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Ni tangazo lililotolewa na msemaji mkuu wa serikali ya DRC, Patrick Muyaya. Amesema wanazo taarifa za uhakika za kila kinachoendelea. Hata hivyo, inasemekana kushirikiana na serikali ya Burundi...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Maji safi na salama kwa wakazi wa Kanombe, jijini Kigali. Mamlaka husika, ilionywa kwa tuhuma za kupoteza zaidi ya bilioni 7 za maji masafi, yaliyoandaliwa, yakaishia njiani bila kuwafikia...
0 Reactions
0 Replies
78 Views
Mwanamke, ana nini cha kumpa mwanaume? Iko hivi, mwanamke ana majukumu mawili kwa mwanaume wake: -Kuvuruga mwanaume akiwa ametulia na -Kumutuliza akiwa amevurugwa Najua wengine watasema ni...
0 Reactions
0 Replies
134 Views
Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ambae ni mpatanishi katika mzozo wa kisiasa kati ya Rwanda na Congo,leo amemtembelea rais Kagame wa Rwanda. Ni katika juhudi za kutafuta suruhu la kudumu,ili...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Zoezi hilo limefanyika,kuhakikisha watu hao wanaimalika kishelia, kutokana na ripoti za mara kwa mara zinazowatuhumu kuvunja sheria za kimataifa.
0 Reactions
0 Replies
96 Views
A. Le M23 ne reculera plus de ses positions. Il n'est donc pas question de quitter le Nord ou le Sud-Kivu. M23 haitatoka katika maeneo iliyo nayo mpaka sasa,kwa maana ya Kivu Kaskazini na Kivu...
0 Reactions
0 Replies
180 Views
Ma ofisa wakuu wa jeshi,wapo hatarini,badhi yao wakiwa wanasakwa huku wengine wakikamatwa. Wanakabiliwa na tuhuma na njama za jalibio la kupindua uongozi wa Tshisekedi.
0 Reactions
2 Replies
133 Views
Back
Top Bottom