Hayo ni maneno ya General Maphwanya, mkuu wa jeshi la Afrika kusini. Aliesema vita vya DRC huenda vikapanuka na kuwa vya ukanda, aliona mbali. Je, atafanikiwa kweli?
Taarifa zenyewe husema hii...
Kwa kichapo inachoendelea kupata Israel, ni wazi biashara na mataifa mbali mbali hazina priority.
Inavoonekana, Israel haikutegemea itafumuliwa kwa kiasi tunachokiona. Watu wasio na makazi,miundo...
Kuna siku nliambiwa nimtaje rafiki yangu alaf atapigiwa simu nayye akinitaja me napewa 10000 nikamtaja aseee tena ni mtu nimekaa naye room moja kabisa na tunawasiliana kila siku alipoulizwa...
Siku ya leo, moto mkali umeshika mgahawa mmoja huko Goma.
Uongozi wa jiji la Goma, uliomba msaada jeshi Polisi nchini Rwanda, kitengo cha zimamoto; MONUSCO, na yenyewe inasemekana ilileta gari...
Pichani, ni mwanamke raia wa Rwanda, aliekuwa akiishi nchini Uhalanzi.
Miaka ya nyuma, alikuja Rwanda kugombea urais, kwa tiketi ya chama chake binafsi.
Alipofika, alitembelea makumbusho ya...
Constant MUTAMBA(Pichani), alikuwa ameahidi kwamba atafanya kila analoliweza kuhakikisha Rwanda inakuwa mkoa wa 26 wa jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
Badae, kupitia wizara yake ya sheria...
Watu wana ardhi zao toka enzi. Leo hii, walishazuiliwa kufanya chochote, baada ya kusema ni maeneo hatarishi, hivyo hayatakiwi kufanyiwa shughuli yoyote. Mpaka serikali iwalipe fidia, wakatafute...
Maisha ya wanyarwanda bado yanazidi kuwa kitendawili.
Kwenye video, ni nguzo inayosafirisha umeme wa Kv30,000, iliyohalibiwa na wanaotafuta chuma chakavu kwa ajili ya kuuza.
Kama tunavyoambiwa Makombola ya Iran hayaui mtu huko Israel.
Ripoti kutoka vyombo vya habari, zilidai wanajeshi 14 tuu wa SAMIDRC(Mission iliyofeli nchini Congo), ndo waliuliwa vitani na M23...
Msemaji mkuu wa Serikali ya DRC, Patrick Muyaya, akisema kwamba, DRC ni nchi kubwa ya ukanda.
Hii inatosha kuonyesha kwamba, Rwanda, Burundi na nchi nyingine jirani, haziwezi kuishi bila Congo...
Ujue Sasa hivi wanaume wanafanya mapenzi kupunguza hamu tu............. Kwanini nasema hivi?!
Wanaume wa sasa hivi wanaonekana hawana nguvu za kiume kwa wadada wengi kitu ambacho sio kweli...
Chanzo cha yote pichani. Vitu kama hicyo,ongezea matango na karoti,vyote vinasokomezwa humo. Uchi ushakuwa kama dekio.
Huo huo unatolewa kwa malipo. Mwenye kutoa chake,haijalishi anatumia dakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.