Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

REQUEST FOR QUOTATIONS RFQ Title: Supply and Installation of Back-Up Server in Zanzibar RFO Number: 2024-TCP/05/01 Date of Solicitation: May 1, 2024 Closing Date and Time: May 15, 2024,11:00 am...
0 Reactions
0 Replies
335 Views
Invitation To Tender For Disposal Of Assets At Rijkzwaan Tender No. Rz/Q-Sem/003/2024 Rijk Zwaan intends to dispose four Vehicles, motorcycle, machines, spare parts, electrical materials...
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Hoteli ya Lahe hotels Mwanza inahitaji Kuajiri proffessional mfanyakazi wa vyumbani kwa mshahara 150000/= tafadhali wasiliana na meneja 0715450012 au 0655290084.
1 Reactions
2 Replies
457 Views
Rejea kichwa cha habari... naomba mtu yeyote au muajiri aliepo humu JF naomba kazi ya kufundisha masomo ya English language, history na civic elimu yangu ni shahada ya ualimu... Napatikana Mwanza...
2 Reactions
6 Replies
712 Views
Habarin wadau, Nimehitim diploma ya mambo ya utawala, sasa niliona nipige hata short course kutokana na changamoto za ajira,nilikuw nauliza je hii short course ya civil drafting ukiachana na chuo...
2 Reactions
56 Replies
15K Views
Invitation For Bids (IFB) Bid No. AKFT/04/2024/001 Procurement Of Goods To Support Climate Action Areas The Aga Khan Foundation (AKFT) is an agency of the Aga Khan Development Network (AKDN)...
0 Reactions
1 Replies
518 Views
Position: Chief Programs Officer Department: Programs Reports: Reports directly to Chief Executive Officer Reports: Direct Reports Head SME & Inclusive Finance Lead Digital Finance &...
0 Reactions
0 Replies
422 Views
Position: Lead, Financial Policy And Climate at FSDT May, 2024 About the Role FSDT is seeking applications for the position of Lead, Financial Policy and Climate Action to lead its efforts in...
0 Reactions
0 Replies
428 Views
Wakuu natafuta bloggers waliopo mwanza kwa ajili ya mentorship ya vipengele mbalimbali. Panapo majaliwa tutakua tunapeana kazi
0 Reactions
6 Replies
420 Views
TERMS OF REFERENCE FOR REVIEW OF THE 2018 INTEGRATED MANAGEMENT OF ACUTE MALNUTRITION NATIONAL GUIDELINES Project and evaluation summary table Project Name Accelerating National Wasting...
0 Reactions
1 Replies
380 Views
MTU mwenye uwezo mkubwa wa kufanya majukumu Kama haya Anaweza kuajiriwa Kama nani katika NGO au Taasisi Kama TASAF, Amref, Tacaids n.k. MTU mwenye haya mambo Counselor Mentor Psychotherapy...
0 Reactions
2 Replies
631 Views
Habari zenu viongozi, Kesho nina mpango wa kutembea jiji zima kuomba internship, je naweza kuambatanisha barua ya maombi na vyeti vya degree pekee? Lengo la kufanya hivi ni kuwashawishi waajiri...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Nilikuwa nataka kwenda dubai kutafuta kazi nina Bachelor ya Electronics and Telecommunication Engineering. Kwa yoyote anayejua kuhusu kule taratibu za kupata kazi naomba anielekeze
1 Reactions
6 Replies
8K Views
Mie ni kijna miaka 24 ,mwenye hofu ya Mungu na mpambanajii Mie ni mwenyeji wa Kahama , nipo mwanza kuanza maisha rasmi baada ya kumaliza chuo dar es salaam na kupambana sana , nimefanya biashara...
11 Reactions
67 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naitwa jamali nina umri wa miaka 30 nipo mwanza, elimu yangu ni degree ya kwanza katika fani ya manunuzi na ugavi pia nina ordinary diploma ya fani hiyo hiyo, ninauzoefu wa mwaka...
3 Reactions
4 Replies
590 Views
Habari za mda huu Naitwa Denis manase mmi Ni fundi wamagari nipo Arusha natafuta kazi hususan Ni ufundi wa magari naweza kutengeneza Magari kama -Toyota _Mistubish _subaru _tata _nk Kama Kuna...
0 Reactions
2 Replies
750 Views
Looking for a meticulous and reliable housekeeper to maintain the cleanliness and organization of your home or office? Meet Zena! With expertise in dusting, cleaning, ironing, and caring for...
1 Reactions
5 Replies
648 Views
Kwanzia nianze kuomba hizi kazi zaidi ya mwaka sjawai itwa kwenye interview,. Nimetuma maombi karibia mara 40 na vigezo vyote wanavyotangaza ninavyo. Hata watu nao wafahamu ambao walishawai...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari wakuu nimeitwa kwenye usaili wa kuandika secretariat ya ajira wa kada mkufunzi maendeleo ya jamii, kwa yeyote mwenye kujua ABCD kuhusu kada hii na ukufunzi kwa ujumla unaweza kishare...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina. Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina...
21 Reactions
260 Replies
44K Views
Back
Top Bottom