Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Position: Teacher Training Coordinator Overview Project Zawadi’s mission is to ensure Tanzanian children and youth have access to a quality education. Project Zawadi (PZ) is a small non-profit...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari za wakuu Mimi ni kijana wa kiume nina bachelor ya business adminstration based in accounting, nina uzoefu wa kufanya kazi benk lakin mkataba uliisha na sikua tayari kuongeza tena kwa sababu...
4 Reactions
8 Replies
638 Views
Habari wana jamii, kwa yeyote mwenye kutafta binti kwa ajili ya kazi mbalimbali kama dukani, ofisini, receptionist au yoyote ile ya halali basi kuna binti yupo Arusha miaka yake ni 22 ana elimu ya...
1 Reactions
2 Replies
446 Views
Habari zenu wapendwa, mimi ni binti wa miaka 28 elimu yangu ni kidato cha nne ninaujuzi wa kompyuta nilisoma kozi fupi natafuta kazi ya stationary, au uwakala tigopesa nimefanya mara kadhaa hizo...
1 Reactions
2 Replies
489 Views
Habari ndugu zangu Kwa majina naitwa mwamimi shafii naishi Arusha Umri 21 Jinsia :KE Elimu: four ila nilifeli nilipata leaving tu Baba yangu alifariki mama yangu yupo Msaada wenu wakupata kibarua...
5 Reactions
21 Replies
1K Views
Nakuja kwenu komba kazi au connection ya kazi yoyote au aliye kazi ya usimamia ni mwadilifu na mwaminifu Asante mungu awabariki
8 Reactions
67 Replies
3K Views
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Naitwa emery gordon Asubisye nina diploma ya procurement and supply nina uzoefu wa sales,secretary, stores,manager,clearing, natafuta kazi yoyote
4 Reactions
1 Replies
361 Views
Habari wanajf, kuna suala ambalo linanitatiza naomba wenye uelewa wanisaidie!! Iko Hivi Mimi nina Diploma ya Civil engineering (Civil technician) nikafanya Oral interview ya ( VOCATIONAL TEACHER...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
daaah wakuu kuna mtu kanifuata inbox kaniambia ni HR wa kampuni mpya ya kutengeneza juice ipo chalinze akaniambia nimtumie vyeti nikamtumia, akaniambia kwenye vyeti vyangu kuna sehemu ambapo...
24 Reactions
65 Replies
3K Views
Mimi kijana wa miaka 24 nasoma degree mwaka wa kwanza Dar es salaam. Naomba mnisaidie kazi kwa sababu najisomesha mwenyewe. Mimi hata nikipatiwa kazi ya kuingia kwa zamu sawa ila iwepo Dar es...
1 Reactions
14 Replies
698 Views
Interested parties are hereby invited to tender for the supply of the following; “Production and Supply of school uniforms to the School of St. Jude, Moshono Campus, Moshono, Arusha”. Bidders are...
0 Reactions
0 Replies
407 Views
Position: Driver Location: Dar es Salaam Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed...
1 Reactions
3 Replies
684 Views
Serikalini wanalipwaje watu wenye degree ya optometry?
4 Reactions
120 Replies
9K Views
SALAAAM wanajamii? Mimi ni muuguzi, jinsia mwanaume, nina umri 31 napatikana Kimara ,Dar nina leseni hai ya uuguzi nina uzoefu wa kazi hii ya uuguzi miaka 3+, Level ya fani ni diploma Naomba...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii imekuwa mpya kwangu katika harakati za kutafuta kibarua. Nimeambiwa niandike proposal ya namna ambavyo nitaweza kuongeza wateja na kukuza biashara. Ni upande wa Administration ya Hotel.
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Habari wana jf! Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma. Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa...
3 Reactions
30 Replies
5K Views
Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Bryan Robinson, Ph.D. Contributor author of Chained to the Desk in a Hybrid World: A Guide to Balance. Follow Apr 21, 2024,06:00am EDT Knowing how to negotiate your salary before a job...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom