Wakuu hapa kuna gari inauzwa Toyota premio aina ya injini ni 7AT211 ya mwaka 1999.Inauzwa kuanzia 8.3ml ila maongezi yapo kwa mhitaji :email:kakakiiza@rocketmail.com au ni pm!kwa mawasiliano zaidi!
POSITION OVERVIEW
Provide support to NMM to ensure that Safety Objectives are aligned with the business plans and that all Safety Programs are implemented in accordance with Barricks Standards...
Jamani nisaidieni kazi kwenye taasisi za kiraia ,nimechoka kutumikia serikali ya awamu ya nne ,sasa yaelekea bado ninao mpaka m2015! nina BA katka utawala na uzoefu mambo ya jamii hii serious bosi...
Hamjambo wana JF. Naomba ushauri, mimi nafanya kazi kampuni fulani nje ya Dar na familia yangu ipo Dar. Huwa napata likizo kila baada ya miezi mitatu. Mshahara wake ni mzuri. Nimepata kazi Dar ili...
habari zenu wana jf, mimi ni kijana nimeamua kujiajiri natafuta fremu ya kuanzisha stationary iwe maeneo karibu na chuo chochote- dar. naombeni msaada wenu, asanteni.
kazini kwetu kuna mama mmoja wa kiganda, anafanya kazi nasi kama marketing manager...ila ana mambo ya ''kiswahili'', majungu, fitina, na kampeni za kutaka kusababisha wote tuliopo tuachishwe kazi...
Jamani nimekuja hapa jamvini nahitaji msaada wa mawazo.
nina BSc.Home Economics and HumanNutrition. nimehangaika kutafuta kazi bila mafanikio. ninajitahidi sana kutembelea website kama vile...
nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya sinza, mwenge au kijitonyama. vyumba vitatu vya kulala, jiko, dinining room, choo cha ndani. kodi isizidi laki mbili na nusu kwa mwezi. wasiliana nami 0713775173
Fungua hapa ili kupata dondoo zaidi kuhusu usaili na uandishi wa wasifu.
01. Resumes, CV writing, CV samples, and Cover letters - CVtips.com
02. Job-Interview.net Interview In Depth Index...
dear fellows,nimeikuta hii jaribuni kwa wanaomeet qualifications.
JOB VACANCY
Precision Air Services is a fast growing private Tanzanian airline which operates in partnership with Kenya...
A great career opportunity is available to those that are SERIOUSLY seeking a better, stress -free career path for their FINANCIAL SECURITY.
Are you tired of spending too much time at a...
Advans Bank Tanzania, a bank recently incorported in Tanzania, offers career opportunities to highly skilled and motivated professionals.
The new institution is part of a network of financial...
Karagwe Media Association (KAMEA) is a NonGovernmental voluntary organization based in Karagwe District of the United Republic of Tanzania . One of the KAMEAs objectives is to fill in the...
jamani nauza nyumba yangu ambayo haijaisha imefika kwenye linta ipo Goba Mbezi juu.
unaweza kupita tangi bovu au njia panda ya makonde na ukafika.
nataka hela ya harakaharaka ili niende nje...
Habarini ndugu zangu, nina gari aina ya Nissan safari, naiuza kwa bei poa kabisa inahitaji matengenezo kidogo katika body na engine mashine ni mil 4.5 tu na mazungumzo yanakaribishwa. tutwangie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.