Samahani wana JF nilikuwa naomba kwa wanaofahamu kuhusu mishahara wanaolipwa wahandisi wa umeme (Electrical engineers) kwa graduate wa kuanzia diploma, degree na masters pamoja na careers...
Wadau ivi awamu ya kwanza kwa mwaka huu kwa vijana wakujitolea si ilimalizika mwezi wa 6? Na je kwanini inachukua mda mpaka kuitaji awamu nyingine? Na pia kuna watu walisema ni mwezi wa kumi na...
Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi ya kazi kwa ajili ya Ofisi ya Baraza la Mapinduzi Zanzibar kama ifuatavyo:-
1. Afisa Utafiti Daraja la II “Nafasi 1”
Sifa za Waombaji:
• Awe ni...
Habarini humu ndani
Kama nimekosea jukwaa mtanisamehe. Mimi ni fresh graduate. Nimemaliza chuo mwaka jana. Katika mishe za kutafuta kazi nimehangaika sana. Nime apply sehemu kama 10+ hakuna hata...
Taarifa Zilizonipata ni kwamba Zima Moto kesho. Be patient na usikose kuja JF kusoma jina lako wewe uliye-apply.
Updates:
Gazeti la daily news halina link. We tafuta gazeti kwanza au check...
Habari zenu Mabibi na Mabwana, Samahani naombwa kujuzwa ivi vyeti vya darasa la saba huwa vinatolewa?
Kwa sababu mie binafsi sina. Kwa anayejua please naomba kujuzwa coz pccb wametaja cheti...
Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilipeleka CV yangu na taarifa zangu za kitaaluma TAESA kama Taasisi ya serikali inayoshughulika na ajira yani (Tanzania Employment Services Agency).
Nimepigiwa simu...
Heshima yenu wakuu.
Ninaorodhesha credentials zangu hapo chini kwa lengo la kuomba kazi ya muda mfupi ama mrefu yenye malipo yasiyopungua 15,000/= kwa siku.
1. Ninaishi Kigamboni
2. Umri wangu...
Habari zenu wakuu kama kichwa kinavyojieleza hapo kwa wenye uzoefu na interview za tra vipi maswali yanaweza kua kwa upande gani hasa kwa nafasi ya custom officer II pamoja na Tax officer II...
Katika kada inayoongoza kwa kulaumiwa na kuonewa ni afya. Sasa viongozi wa kada hiyo ni madaktari maana ndio moyo. Nataka kujua, wanalipwa kiasi gani mpaka wanaonewa kiasi hicho?
Tulinganishe na...
Jamani kwa wale wadau ambao tumeitwa interview NSSF mwenye idea ya maswali yanayoulizwa kwenye iyo interview tuje tudiscuss hapa,au kama unakumbuka position description tupeane hapa,..najua...
Wakuu habari za siku habari za mihangaiko??? jamani WCF wametoa shortlist yao so kwa wale walioomba angalieni kwenye web yao {japo net yao iko down saana wakuu} ila komaeni nayo.
kila la kheri...
Salary Slip Portal
Wizara ya fedha wametoa portal rasmi ya kupata salary slip kwa njia ya mtandao (online) kwa watumishi wa umma
*Taarifa zinazohitajika*
>Check number
>Majina yako matatu...
WE ARE LOOKING FOR HOLDERS OF BACHELORS DEGREE OR FTC OR DIPLOMA IN THE FOLLOWING DISCIPLINES
- ELECTRICAL ENGINEERING
- ELECTRO MECHANICAL ENGINEERING
- MECHANICAL ENGINEERING
-...
Heshima mbele wakuu naambiwa kuwa TAKUKURU wame tangaza kazi kwenye daily news la leo mwenye taarifa tafadhali.
Wengine huku tuliko gazeti la leo tunasoma baada ya siku mbili.
@Lyandembele 1
Habari zenu wana JF!! Nimeona katika tovuti ya utumishi wametupia majina ya watu waliofanikiwa kuitwa kwenye Usaili kwenye zile nafasi 2285 zilizotangazwa tarehe 25/05/2012 katika fani mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.