Naomba kujuzwa mshahara wa Electrical engineers?

Naomba kujuzwa mshahara wa Electrical engineers?

goxum10

Senior Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
179
Reaction score
211
Samahani wana JF nilikuwa naomba kwa wanaofahamu kuhusu mishahara wanaolipwa wahandisi wa umeme (Electrical engineers) kwa graduate wa kuanzia diploma, degree na masters pamoja na careers wanazoweza zifanya.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mishahara inayojulikana kabla ya kuanza kazi na kulipwa kulingana na elimu ni ya Taasisi za Umma tu.
 
Waulize watu wanaofanya kazi Temesa, Tanesco n.k. Najua lkn siweki humu.
 
Kama mnaufahamu mwambieni tu si kitendo cha dakika chache tu kuliko kuanza kumzungusha
 
Samahani wana JF nilikuwa naomba kwa wanaofahamu kuhusu mishahara wanaolipwa wahandisi wa umeme (Electrical engineers) kwa graduate wa kuanzia diploma, degree na masters pamoja na careers wanazoweza zifanya.

Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
jibu inategemea ulipo

engineer/technician (electrical au mechanical) wa TPDC hawezilipwa sawa na yule wa TANESCO, hawezilipwa sawa na yule wa TAMESA, hawezilipwa sawa na yule wa makampuni ya ukandarasi binafsi, hawezilipwa sawa na yule wa viwanda vya:

1. wahindi nuksi kabisa
2.wahindi wa kati ( kama Alaf )
 
jibu inategemea ulipo

engineer/technician (electrical au mechanical) wa TPDC hawezilipwa sawa na yule wa TANESCO, hawezilipwa sawa na yule wa TAMESA, hawezilipwa sawa na yule wa makampuni ya ukandarasi binafsi, hawezilipwa sawa na yule wa viwanda vya:

1. wahindi nuksi kabisa
2.wahindi wa kati ( kama Alaf )
jibu zuri kabisa TEMESA technician wanaanza na 640k na engineer 860k, Tanesco Technician 1m+ na engineer 1.5+m, Tanroad wako juu kidogo, TPDC na TCRA ndio usiseme kabisa WAKO JUU MNO kimslahi , NEC electrical techincian 1.2M, engineer 1.6m Huko uwanja wa taifa ndo majanga kabisa njaa kama yote kwa engineer na technician wa umeme



Mshahara unategemeana na taasisi uliyopo japo kuna taasisi zinalipa kidogo au juu ya hizo nilizotaja
 
Daah sio poa, 1.2m ni profit yangu ya mwezi katika business zangu, na hiyo ni minimum tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
jibu inategemea ulipo

engineer/technician (electrical au mechanical) wa TPDC hawezilipwa sawa na yule wa TANESCO, hawezilipwa sawa na yule wa TAMESA, hawezilipwa sawa na yule wa makampuni ya ukandarasi binafsi, hawezilipwa sawa na yule wa viwanda vya:

1. wahindi nuksi kabisa
2.wahindi wa kati ( kama Alaf )
Daaaah asante bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jibu zuri kabisa TEMESA technician wanaanza na 640k na engineer 860k, Tanesco Technician 1m+ na engineer 1.5+m, Tanroad wako juu kidogo, TPDC na TCRA ndio usiseme kabisa WAKO JUU MNO kimslahi , NEC electrical techincian 1.2M, engineer 1.6m Huko uwanja wa taifa ndo majanga kabisa njaa kama yote kwa engineer na technician wa umeme



Mshahara unategemeana na taasisi uliyopo japo kuna taasisi zinalipa kidogo au juu ya hizo nilizotaja
Anhaaa asante Sana mkuu na ili uwe technician manake uwe ni graduate wa diploma ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom