shakira1985
New Member
- Aug 19, 2019
- 4
- 11
kama unajijua una lower second class nibora ukajishughulisha na kazi zingine…!
😂 😂 😂 😂 😂 😂Kuaji"LI"WA ndio nini? umesoma chekechea, lakwanza hadi la saba, kidato cha kwanza hadi cha sita , umeenda chuo bado tofauti ya" L" na " R" hujui halafu unataka serikali ikuajiri?
Baada ya uzi huu!Tangu lini?
kama unajijua una lower second class nibora ukajishughulisha na kazi zingine…!
Umemaliza lini masomo mdogo wetu?kama unajijua una lower second class nibora ukajishughulisha na kazi zingine…!
kuitwa interview sio tatizo .......zama zimebadilika brooo….otherwise kama ulikuwa na professional certification...Acha ujinnga wewe Mimi nimeajiriwa kama ICTO serikalini Nina GPA ya 3.4 na tangu nianze kuomba Nazi utumishi sijawahi acha kuitwa interview tumia akili wewe na mostly watu ninanofanya nao oral interview GPA zao ni below 2.7
Mungu akiamia unaingia bila wao kuelewa
Imeanza lini hii? Mbona watu kibao wameajiriwa na hizo lower, kama ma weo, cdo, swo etc? Kwani kinachofanya kazi ni cheti au mtu?kama unajijua una lower second class nibora ukajishughulisha na kazi zingine…!
labda mtoa mada anazungumzia wanaopitia secretarieti ya ajira (PSRS)Imeanza lini hii? Mbona watu kibao wameajiriwa na hizo lower, kama ma weo, cdo, swo etc? Kwani kinachofanya kazi ni cheti au mtu?
walokole bhana!Mungu akiamia unaingia bila wao kuelewa