Kama unajijua una lower second class GPA, huwezi kuajiriwa utumishi!

kuna degree na vyuo hazinaga upper second na first class kwa urahisi ila wanaajiriwa sana utumishi..

mfano udsm coet, conas, udbs... ukimkuta mtu na first class au upper second ujue mtabe hasa... na watu wenye gpa ndogo wanapata sana ajira utumishi
 
Back
Top Bottom