Kampuni ya Trevo Africa inatangaza nafasi za wasambazaji Wa bidhaa zake kwenye wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani hats nje ya Tanzania.
Mahitaji uwe umemaliza Kidato cha NNE, SITA au...
Ndugu JF. Mimi ni Mwalimu wa sekondari Zebeya, Wilaya ya Maswa- Simiyu nachukua nafasi hii kuomba kubadilishana Kituo cha kazi Na Mwalimu wa Sekondari tokea Morogoro, wilaya ya Mvomero.
Nina 3years experience, B.com Finance banking!! Niko Dar.
Mshaahara sio big deal we can negotiate to your terms.
Experience ni sales/stock controller na contributions officer.
Nimefanya kazi...
LEGAL AND HUMAN RIGHTS CENTRE
JOB VACANCIES
Job Title: Human Resources Manager – 1 Post
LHRC is seeking a Human Resources Manager who can develop effective relationships with the programme...
Baada ya kujihisi kuwa na kipaji katika fani ya Utangazaji wa Radio aliamua kujiminya ili kupata walau cheti katika fani hiyo na kwa rehma za mungu alifanikiwa kupata Advance Certificate of...
Anatafutwa mtaalamu/fundi mwenye uwezo mzuri wa ku design na kushona nguo za kike.
Ikiwa wewe una sifa hiyo, ni PM tafadhali au waandikie kwenda mesefashions@grabcityinfo dot com (weka . bada ya dot)
PART TIME/ FREELANCER PROJECT PROPOSAL WRITER
Job Duties:
Determines proposal concept by identifying and clarifying opportunities and needs; studying requests for proposal (RFPs).
Meets...
Habari wajumbe,
Naomba taarifa kwa mtu yoyote alieitwa katika nafasi ya Laboratory Engineer katika College of Earth Science ya UDOM ambayo Oral interview ilikua tarehe 30 Nov. 2015. KAma bado...
Guys, hope you are doing fine, Nina kikampuni kidogo cha mambo ya printing kinaitwa A DIGITAL PRINTERS LTD, kipo Mbeya....nhitaji sana vijana 2 wa kufanya kazi upande wa printing...
Position: Senior Communication Officer
Employer: Geita Gold Mining Ltd (GGML)
Purpose of the Job
We want a candidate with creativity who can fully support public Relations and communications...
Habari za jioni wana jamvi!!
Last week kuna nafasi za mbali mbali zilitazwa kupitia zoom na ajirazetu.Hizo post zilikuwa za mine surveyor na zingine nyingi,hao waliotangaza walijiita Labour...
Anatafutwa mwalimu mahiri wa somo la stadi za kazi, mwenye uzoefu wa kufundisha somo hilo, mwenye upendo na watoto.
Shule ni ya mchepuo wa kiingereza, ipo Mbezi beach, Dar es salaam. Anatakiwa...
me ni kijana nasomea mambo ya IT natafuta kazi kama kuna mtu nahitaji kijana kma mimi ani pm ila bado sijamaliza chuo but ni enough skills .
mambo ambayo naweza kufanya ni
networking
ku create...
2.2. ASSISTANT CUSTOMS OFFICER – (40 VACANCIES)
2.3.1. Purpose of the job
To ensure the correct declarations of both import and export entries, and correct any anomalies and...
Do you know someone or are you looking to change your current job or just looking for an exciting opportunity? If yes, I am looking for .NET developers who have good experience in Visual Studio...
Kwa niaba yake ..
Na kwa kutekeleza ombi lake.....Ni dereva kutokana na umri wake na mazingira ya familia yake ...yuko tayari kuendesha gari ndogo kupeleke watoto shule na kuwarudisha nyumbani na...
Wadau hawa jamaa wa Duce waliaidi kuwapigia watu simu, kwa wale watakaofanikiwa kufaulu kuendelea na hatua ya oral..
Swali je, kuna aliyeitwa humu ndani, ili tuendelee kuwaza mambo mengine!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.