Kwa kila atakayeguswa

makofia360

JF-Expert Member
May 28, 2015
776
2,392
Baada ya kujihisi kuwa na kipaji katika fani ya Utangazaji wa Radio aliamua kujiminya ili kupata walau cheti katika fani hiyo na kwa rehma za mungu alifanikiwa kupata Advance Certificate of Journalism and Mass Communication Mwaka 2011 Tangu Mwaka huo hajafanikiwa kupata Ajira kabisa na ni mtaalam katika
-Uandaaji Wa Vipindi Vya Radio
-Sauti nzuri kwa matangazo
-Uandishi wa Majarida
-Utangazaji wa vipindi Vyenye Mahudhui Tofauti kama Burudani,Michezo,NK
Kama mdau unaepitia Bandiko hili utaguswa kwa namna moja au nyingine tumsaidie kijana wetu hata kwa ushauri yupo Tanga na ana umri wa miaka 25 pia yupo tayari kufanya kazi yoyote halali nje ya taaluma hiyo kutokana na mazingira aliyonayo Ni PM kwa chochote kama msaada. Asante
 
Omba kujitolea kwenye kituo chochote cha radio hata bila malipo wakujue tu

Utangazaji haujifichi kama unajua lazima wakuchukue wakati unatafuta kituo kujitolea piga mishe nyingi zinazohusu kutangaza

Ni ngumu kupata nafasi ya kutangaza kama hujajiexpose rekodi hata vipindi vyako kama demo kila ulipo share kwenye social network

piga public annoucement kitaani kwako jichanganye kwenye matamasha pia umc's tafuta kila njia ya kufahamisha watu wewe ni mtangazaji lazima utoboe
 
Omba kujitolea kwenye kituo chochote cha radio hata bila malipo wakujue tu

Utangazaji haujifichi kama unajua lazima wakuchukue wakati unatafuta kituo kujitolea piga mishe nyingi zinazohusu kutangaza

Ni ngumu kupata nafasi ya kutangaza kama hujajiexpose rekodi hata vipindi vyako kama demo kila ulipo share kwenye social network

piga public annoucement kitaani kwako jichanganye kwenye matamasha pia umc's tafuta kila njia ya kufahamisha watu wewe ni mtangazaji lazima utoboe
Thanks sana ushauri mzuri
 
Tk ameenda amepeleka wasifu wake bahati mbaya hawajahitaji Demo zake za vipindi na hawakuwahi kumjaribu sauti ila anaendelea kufwatilia
Sawa Mkuu mwambie asikate tamaa maana hata millard ayo baada ya miaka nane ndo alipata kazi ya maana kutoka kujitolea mpaka elfu 20 kwa mwezi na kukaa Zanzibar kwa mda lakini Leo yupo clouds anakula maisha don't give up
 
Back
Top Bottom