kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
Habari wana JF Mimi natafuta majogoo ya kisasa ambayo yameanza kuwika au yako karibu sana na kuanza kuwika. nahitaji mengi zaidi ya hamsini. kwa yeyote anayefahamu mahali yanauzwa naomba anijuze...
Mimi ni mvvlana wa miaka 23,ninakipaji cha kuigiza na kucheza filamu,lakn cjapata kikund cha kwenda kufanya nacho kaz.Naomba m2 mwenye uwezo wa kunisaidia ili niweze kutimiza ndoto zangu.
Legacy Impresion Company
P.O.Box 12800 Dar es salaam
Kijitonyama:Plot 428, block 44 mkabala na Kanisa la K.K.K.T
KWA: GRAPHIC DESIGN,PRINTING,WEBTECH NA STATIONARIES
Simu: 0713 603699/0767 603699...
Dijitali ndio hiyoo imetushtukizia sie walalahoi hadi leo hatujaamini kama wamezima kweli na tunahisi watawasha tu analojia,
nahitaji kuwa dijitali na mimi ila ka uwezo kangu kadogo, nipo...
naza sony xperia miro ni mpya kabis ina siku 1 toka nimeletewa kutoka india kwa maana ya jana tarehe 24/04/2013
bei yake mpya nipound 170 ambayo ukiconvert ni kama 430,000 ya kibongo...
Kama unahitaji display za laptop size zote (10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.