Kibirizi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 604
- 146
Jamani naomba kuuliza mwenye ufahamu wa kutosha juu ya suala hili, mimi nina muda kama wa miaka minne sijatongoza binti yeyote sasa juzi nilikutana na nikampenda binti mmoja na nikaamua kumtongoza sasa naona kama hanielewi kiurahisi nikahisi nimesahau kutongoza kutokakana na kutotongoza muda mrefu, sasa je kuna ukweli wowote wa jambo hili.