mtaratibuuuuuu
Member
- Aug 17, 2009
- 60
- 4
Imetokea huku kijijini kwetu Pugu-Majohe.
Mkaka kakatwa vidole vyote vya mkono kwa kula mke ya mtu, mume kakuta sms imeandikwa 'bebi tukutane Kisarawe' na kila siku alikuwa anashuku mawasiliano ya mkewe na mtu aliyemsev 'Mariam', kuja kujaribu namba kumbe siyo Mariamu tena ni Maulid.
Mume kamkata mapanga mwizi wake jamani, ndo kakimbizwa hospital muda si mrefu. Acheni kula wake za watu mtakufa na siku hazijafika.
Mkaka kakatwa vidole vyote vya mkono kwa kula mke ya mtu, mume kakuta sms imeandikwa 'bebi tukutane Kisarawe' na kila siku alikuwa anashuku mawasiliano ya mkewe na mtu aliyemsev 'Mariam', kuja kujaribu namba kumbe siyo Mariamu tena ni Maulid.
Mume kamkata mapanga mwizi wake jamani, ndo kakimbizwa hospital muda si mrefu. Acheni kula wake za watu mtakufa na siku hazijafika.