Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Mkilazimishwa kuingia ndani mnatamani dunia ipasuke. Acheni futibol kama kucheza ndani hamtaki.
Mgongano wa mawazo.
1.labda ndani nyasi nyingi kunateleza
2.kwa sababu wanawake hamtaki kuolewa.
3.Hivi unajua kuwa faulo zote za nje hazihesabiwi ????. kazi kwenu.
4.Na wanawake hatutaki vilevile kuolewa.
5.Na hata akiolewa, they are too materialistic with experience ya ajabu. Utakuta binti wa 25 yrs ana experience ya kitandani kumzidi mama wa 50 yrs, and if you run a background check utakuta experience yake ni maboy friend wa 45+ yrs wakati wewe uko 30yrs. ktk hali hii rafiki yako akijua yaliyo kukuta, kufikia uamuzi wa kuoa inakuwa shughuli pevu.
6.Ha haaa! Labda niongezee hapo mkuu. Si unajua wanawake bado hawaijui vizuri ile sheria ya offside? Unaweza kucheza inside ukanyoshwa kibendera vile vile. Pia kwenye mechi lazima kuwe na home and away.
.
Mgongano wa mawazo.
1.labda ndani nyasi nyingi kunateleza
2.kwa sababu wanawake hamtaki kuolewa.
3.Hivi unajua kuwa faulo zote za nje hazihesabiwi ????. kazi kwenu.
4.Na wanawake hatutaki vilevile kuolewa.
5.Na hata akiolewa, they are too materialistic with experience ya ajabu. Utakuta binti wa 25 yrs ana experience ya kitandani kumzidi mama wa 50 yrs, and if you run a background check utakuta experience yake ni maboy friend wa 45+ yrs wakati wewe uko 30yrs. ktk hali hii rafiki yako akijua yaliyo kukuta, kufikia uamuzi wa kuoa inakuwa shughuli pevu.
6.Ha haaa! Labda niongezee hapo mkuu. Si unajua wanawake bado hawaijui vizuri ile sheria ya offside? Unaweza kucheza inside ukanyoshwa kibendera vile vile. Pia kwenye mechi lazima kuwe na home and away.