Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Unakuta kijana kaanza kazi Miezi michache tuanachukua mkopo wa gari hapo anaishi nyumba ya kupanga 20% ya mshahara nyumba ya kupanga maana hawezi kuishi uswahilini 50% marejesho yamkopo wa...
24 Reactions
135 Replies
10K Views
Muindi wa kwanza Nilifanya kazi kwake miezi miwili tu.daah kweli mzee Yule alikuwa na visa Nilikuwa receptionist,secretary,administration.accountant,kilakitu Saa moja keshanifata nyumbani...
3 Reactions
108 Replies
13K Views
wakuu mimi nina girl frend wangu ambaye alikuwa virgin na mpka sahv nimefanya naye mapenzi mara 5.tatizo ni kwamba mara zote 5 amekuwa akitokwa na damu kwenye uke wakati wa lile tendo na mara...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Nawatakia easter njema wapendwa wa mungu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kifo cha Rais wa Malawi, Bwana Bingu wa Mutharika na Msanii wa filamu wa Tanzania Bawa Kanumba (The great) vinaonyesha jinsi gani Afrika tunavyokabiliwa na changamoto ya ukosefu wa Huduma za...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
He/ She is such a good person but does not believe in God.... someone without a religion...Would you marry him or her?
1 Reactions
94 Replies
6K Views
Jamani habari zenu?nianze na historia fupi,miezi 8 nyuma nilipata kuunga urafiki na binti m1 kwenye mtandao wa fb,maongezi yalikuwa yenye kusisimua pmj na matani ya hapa na pale,miezi 4 nyuma...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekaa bar naangalia show amekuja mwanamke na njemba wamekaa meza ya jirani wananuka harufu ya condom sijui jamaa limetafunia kwenye gari au pagale yaani hata show sifaidi nimeharibiwa utulivu.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
R.I.P Kanumba Ila umetuachia balaa, kama sio somo. Jana nimeenda kwa dogo lasi umri kama wa mtuhumiwa ila yeye ni (22), mzee akagoma. Nikajua ni uchovu wa kufuatilia mkutano wa CDM. Leo tena...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Nina mchumba wangu tunaishi sehemu tofauti tena mbali. Kuna tabia anaifanya sivutiwi nayo. Hii tabia ni ya kunibeep, kutuma tafadhali nipigie au naomba niongeze salio. Hii imekuwa ikijitokeza mara...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ndg zangu wana jf. Mwenzenu nimefumaniwa na"pasaka" Yaani pasaka imenikuta nikiwa hovyo,sijui hata namna ya kutoka leo,mifuko yote imetoboka wakuu,tafadhari msaada. Situmii bia,mimi yangu soda...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta msichana wa 18-35 ambaye hajaolewa na haishi na bwana. (only 4 fun) Ninaumri wa miaka 35, naishi Rsa nakuja Tz mara 2/3 kwa mwaka. Vigezo: awe anajiweza kiuchumi, mkweli, hanywi pombe...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
We all love to spend lot of money on buying new clothes, but never realize that the best times are enjoyed without clothes!!.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu habari za weekend,jamani nisaidieni nifanyeje ili mpenzi wangu aelewa uzuri na utamu wa mapenzi ya kidigitali maana amenichosha na penzi la analogia kila nikimwambia tujaribu basi digitali...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Hayati Dr. Betty Shabazz Malcolm Shabazz akipelekwa mahakamani Malcolm Shabazz alivyo sasa baada ya kutoka jela Malcolm Akiwa Hija Maka Wasomaji wa JF, nimelazimika kuweka makala hii leo...
7 Reactions
23 Replies
4K Views
Ndugu wanaJf, Nimekuwa najuliza kwa muda sasa kuhusu hii mikunjo ya usoni, wengine huita cheni au X, chanzo chake ni nini? Huwezi kuikuta kwa watoto wadongo, ila kwa vijana na watu wa umri zaidi...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Life is sweet as nothing to compare. Life is precious as nothing to compare. Life is delicate as nothing to compare. Life is sophisticated, life is complicated, and life is irreplaceable! Wish...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Jaman nawatakia Easter njema na tukumbuke kutubu dhambi zetu.
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Nimekuwa na mpenzi wangu wa mwaka mmoja,siku za hivi karibuni alianza kupuuza simu zangu na nilipochimbua zaidi na kuweza kumuhoji aliniambia ananipenda ila Dini ndio tatizo.mimi ni muislamu naye...
1 Reactions
94 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…