Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Chukulia kwamba wakati uko chuon,let say kuna gal ulikua unampenda mbaya,afu kila ukimwambia kuhusu hisia zako kwake anakuonyeshea dharau za waziwazi.asa ikitokea siku mmemalza chuo, we unapata...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Wakat ndo nafika mkoa huu,,'nikawa na uhusiano wa mapenz na mdada mmoja,,'nimedumu naye kwa takriban mwaka mmoja tukaja kutengana kwa sababu hakuwa mkweli..,pamoja na kuwa tulikuwa tumeachana naye...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani natafuta Nyumba ndogo umri miaka 25-30
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Binti huyu tulifahamiana miaka miwili iliyopita na tukawa very good friends, tukaja achana kwa sababu za kikazi...mwaka uliopita tulikutana tena na katika kukumbushia urafiki tukajikuta tunaenda...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
How can true LOVE being detected especially to this new GENERATION?
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Wana Jf Wenzangu kuna tangazo jipya huwa nalisikia radioni la kutolazimisha penzi hata kwa mke wako. Kimsingi naona kama kila siku zinvyokwenda maadili yanapungua hata kwa vyombo vya serikali kama...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
I have 2 brothers, who are searching for ladies to marry. One of the qualities are, You should be beautiful because they are the most handsome guys on planet earth. And me as uncle need...
0 Reactions
4 Replies
990 Views
Nimekutana na sifa hizi kwenye mtandao. Naomba maoni ya kina dada kuna ukweli kiasi gani hapa 1. The Provider He puts family first, always. He's a selfless man, who lives to please those he...
1 Reactions
53 Replies
3K Views
Dada zangu habari zenu , sasa mmi ni kija wa miaka 25. ila sasa sina mchumba wa kueleweka maana kila ambaye ni xrafiki yangu sasa labda nataka nimsogeze karibu zaidi nagundua kuwa mimi kwake ni...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wanabodi ngoja niwapatie mchapo wa mapenzi uliomtokea swaiba wangu wa karibu. Jamaa aliopoa jimama na wakadumu katika uhusiano takribani miezi miwili(2). Cha ajabu kila wakati wakidu lile jambo...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Si kawaida yangu... ila upweke unanifanya nikuombe wewe dada utakayependezwa kuchati nami basi unikubalie tuuu... Nakusubiri.....ila si mambo ya tendo...Dini yangu hairuhusu tendo mpaka kifo...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
HABARI ZENU WANA JF WOTE. NATUMAINI KWA UWEZO WAKE MUNGU WOTE HATUJAMBO, NINAJITOKEZA KULETA ADHIMA YANGU YA KUTAFUTA MCHUMBA WA KIKE, ALIYE TAYARI KUOLEWA NA KUISHI NA FAMILIA KWA AMANI...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mtaalamu mmoja wa mahusiano na malezi, Dk. Grace Katterman, katika kitabu chake maarufu kinachoelezea athari za Ghubu kiitwacho, Verbal Abuse, anaelezea uharibifu wa tabia unaoweza kusababishwa na...
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Trust Me, Amri ya sita ingesema "ZINI KWA NGUVU ZAKO ZOTE, AKILI ZAKO ZOTE na MOYO WAKO WOTE tena KWA IDADI YA WANAWAKE/WANAUME UTAKAYOWEZA" hakuna mtu angezini while now inasema USIZINI ila...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau, Kuna mpemba mwenzangu kaoa huko kaskazini mwa tanganyika. Anajuta sana, anasema mke wake ni mtanganyika, hajui marashi ya karafuu, hajui udi ni nini anaweka kwenye friji, hajui miski...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Katika maisha yangu nimeshuhudia wanaume wengi wakiwasaliti wapenzi/wake zao, na pindi wapenzi/wake zao wanapogundua wengi wao huwasamehe na maisha huendelea. Lakini kosa hilohilo(usaliti)...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Mwalimu Nyerere alisema kuna maadui watatu (3) wa maendeleo ambao ni ujinga, umaskini, malazi,....katika kizazi cha sasa ameibuka adui mwingine - MAPENZI......!!!!!, refer KANUMBA death. > JE...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau nimeshuhudia hii kitu leo jamaa alikua na demu wake kumbe huyu demu alikua na mwanaume lakini alijibadilisha jinsia na kua mwanamke. Kitaalamu watu hawa wanaitwa Trans Sexual. Jamaa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu! Siku kama ya leo mnamo mwaka 2010 nilipoteza baba yangu mzazi ambaye aligongwa na pikipiki na kufariki. Nakuombea kwa mungu babangu mpendwa.. ndetichia
2 Reactions
57 Replies
3K Views
Back
Top Bottom