Chukulia kwamba wakati uko chuon,let say kuna gal ulikua unampenda mbaya,afu kila ukimwambia kuhusu hisia zako kwake anakuonyeshea dharau za waziwazi.asa ikitokea siku mmemalza chuo, we unapata...
Wakat ndo nafika mkoa huu,,'nikawa na uhusiano wa mapenz na mdada mmoja,,'nimedumu naye kwa takriban mwaka mmoja tukaja kutengana kwa sababu hakuwa mkweli..,pamoja na kuwa tulikuwa tumeachana naye...
Binti huyu tulifahamiana miaka miwili iliyopita na tukawa very good friends, tukaja achana kwa sababu za kikazi...mwaka uliopita tulikutana tena na katika kukumbushia urafiki tukajikuta tunaenda...
Wana Jf Wenzangu kuna tangazo jipya huwa nalisikia radioni la kutolazimisha penzi hata kwa mke wako. Kimsingi naona kama kila siku zinvyokwenda maadili yanapungua hata kwa vyombo vya serikali kama...
I have 2 brothers, who are searching for ladies to marry. One of the qualities are, You should be beautiful because they are the most handsome guys on planet earth. And me as uncle need...
Nimekutana na sifa hizi kwenye mtandao.
Naomba maoni ya kina dada kuna ukweli kiasi gani hapa
1. The Provider
He puts family first, always. He's a selfless man, who lives to please those he...
Dada zangu habari zenu , sasa mmi ni kija wa miaka 25. ila sasa sina mchumba wa kueleweka maana kila ambaye ni xrafiki yangu sasa labda nataka nimsogeze karibu zaidi nagundua kuwa mimi kwake ni...
Wanabodi ngoja niwapatie mchapo wa mapenzi uliomtokea swaiba wangu wa karibu. Jamaa aliopoa jimama na wakadumu katika uhusiano takribani miezi miwili(2). Cha ajabu kila wakati wakidu lile jambo...
Si kawaida yangu... ila upweke unanifanya nikuombe wewe dada utakayependezwa kuchati nami basi unikubalie tuuu...
Nakusubiri.....ila si mambo ya tendo...Dini yangu hairuhusu tendo mpaka kifo...
HABARI ZENU WANA JF WOTE.
NATUMAINI KWA UWEZO WAKE MUNGU WOTE HATUJAMBO, NINAJITOKEZA KULETA ADHIMA YANGU YA KUTAFUTA MCHUMBA WA KIKE, ALIYE TAYARI KUOLEWA NA KUISHI NA FAMILIA KWA AMANI...
Mtaalamu mmoja wa mahusiano na malezi, Dk. Grace Katterman, katika kitabu chake maarufu kinachoelezea athari za Ghubu kiitwacho, Verbal Abuse, anaelezea uharibifu wa tabia unaoweza kusababishwa na...
Trust Me, Amri ya sita ingesema "ZINI KWA NGUVU ZAKO ZOTE, AKILI ZAKO ZOTE na MOYO WAKO WOTE tena KWA IDADI YA WANAWAKE/WANAUME UTAKAYOWEZA"
hakuna mtu angezini while now inasema USIZINI ila...
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye...
Wadau,
Kuna mpemba mwenzangu kaoa huko kaskazini mwa tanganyika.
Anajuta sana, anasema mke wake ni mtanganyika,
hajui marashi ya karafuu,
hajui udi ni nini anaweka kwenye friji,
hajui miski...
Katika maisha yangu nimeshuhudia wanaume wengi wakiwasaliti wapenzi/wake zao, na pindi wapenzi/wake zao wanapogundua wengi wao huwasamehe na maisha huendelea. Lakini kosa hilohilo(usaliti)...
Mwalimu Nyerere alisema kuna maadui watatu (3) wa maendeleo ambao ni ujinga, umaskini, malazi,....katika kizazi cha sasa ameibuka adui mwingine - MAPENZI......!!!!!, refer KANUMBA death.
> JE...
Wadau nimeshuhudia hii kitu leo jamaa alikua na demu wake kumbe huyu demu alikua na mwanaume lakini alijibadilisha jinsia na kua mwanamke. Kitaalamu watu hawa wanaitwa Trans Sexual.
Jamaa...
Habari zenu wakuu!
Siku kama ya leo mnamo mwaka 2010 nilipoteza baba yangu mzazi ambaye aligongwa na pikipiki na kufariki.
Nakuombea kwa mungu babangu mpendwa..
ndetichia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.