Shamuse_bey
JF-Expert Member
- Jun 15, 2026
- 467
- 596
Habari za jioni wa jf, sisi sote tunabwaswa tutambue kwamba HAKI YA MTU ndio kitu pekee humfanya mtu kuishi kwa amani, na isije ikatokea kati yetu tukakosa amani eti kwasababu ya kunyimana haki zetu, kwahiyo hakuna haja ya kuzurumiana, kuibiana, au kuto jali haki ya mtu mwengine kwa maslayi ya mtu binafsi bali tuwe vipaombele kwa kutetea haki ya mtu,rafiki na ndugu isije ikapotea haliyakua unauwezo wa kuitetea au kuisimamia isipotee. Yangu mimi ni hayo.