Wakuu, naomba tupeane experience, Ipi sababu iliyokufanya uolewe/uoe?
1. Je ni kwasababu ulichoka kuishi maisha ya upweke?
2. Je ni kwasababu ulishindwa kuzuia hisia?
3. Je ni kwasababu ulipata...
Miaka 12 ya mapenzi, visa na mikasa nikiwa na Renata
Sehemu ya kwanza
Wadau kwa kuwa ni mwisho wa mwaka na nimeanza likizo nikaona bora niweke bandiko langu hapa jukwaani kuhusu mahusiano yangu...
Wakuu
Kumekuwa msemo huu maarufu wa Wahenga unaosema kwamba kila mwanaume aliyefanikiwa mara nyingi amekuwa na msaada, moyo, au ushawishi wa mwanamke nyuma yake. hata sijawahikujua una maana gani...
KWA WANANDOA PEKEE | NA WANAOTARAJIA WATOTO
Ukiachana na Zile Sarakasi | Mibinjuko ya 6 kwa 6 na Vilio vya Mahaba kutoka kwa Ma Mtu
Kikubwa Zaidi KinachoFanya Mwanamke Apate Ujauzito au Mimba ni...
🔥MAMBO🔟 YANAYOPUUZWA NA WANAUME WENGI YA KUIMARISHA NGUVU KITANDANI💪
Huu ni utangulizi tu wa mada zinazofuata, nitaendelea kutoa ufafanuzi wa kina zaidi kwa mada moja moja katika masomo yaliyo...
Unakuta kasichana kadogo kweli hakana bikra! Kameshaugawa utamu mpaka unajiuliza why? Kusema labda kamejiingiza kwenye mapenzi kwa vile nyumbani ni maskini hapana,nyumbani wana kila kitu. Akifika...
Vijana wa sasa sijajua au ndio kizazi chenu cha wakati.
Ila sisi wakubwa wenu mnavyo jionesha kuwa mnashindwa kutafutana mtaani mpaka kwenda kwenye media yani niliona kijana mmoja kuna kipindi...
Kumekuwepo kama mashindano ya nani mwenye likes na asiye na likes,watu wanaomba ushauri wachangiaji wanaandika coments ambazo watapata likes nyingi bila kujali wanaandika nini. Suluhisho ni moja...
Mimi naanza na hii
Kuna siku nilimsikia jamaa anaongea na demu wake anamwambia
"Baby kwanini hujaniambia kuwa mamako ndio amekuzaa" nikawapa wiki mbili
Yaani kuna demu najuana naye Sasa nimetaka namba ya rafiki yake aisee dakika siguri tu nimeunganishiwa na mpaka Sasa mtoto anaelekea kibra sikujia kama Kuna kitonga namna hii
Habari wana jf? Hivi karibuni kumekuwa na utitiri WA DAWA za kuongeza nguvu za kiume HASA kwenye hizi "SANITARIUM CLINICKS", mpaka nachanganyikiwa kujua DAWA ipi inasaidia na DAWA Gani ni feki...
Iko hivi;
Kuna binti nilikua nammezea mate kinoma. Kuna mahala huwa nakunywa chai sasa huwa anapenda kuja kununua vitafunwa hapo, so nikawa namuonaona pale. Wiki mbili zilizopita nilimuomba namba...
Mimi ni kijana wa miaka 30, nilikutana na Binti Mmoja tukiwa chuo, miaka ya nyuma kidogo.. nikawa na namba yake, lakini nilimtomgonza, miezi Sita iliyopita akakubali, na nikamwambia nataka kumuoa...
Habari wana JF,
Kweli nimeamini kuna wakati tunatakiwa kuheshimu mawazo yetu ya awali hasa wakati tunapojaribu kufikiria jambo fulani linalotutatiza kiuhalisia.
Katika maisha yangu niliamini...
Wakuu,
naombeni ,msaada wa ushauri,
Hivi ni sahihi kubadili dini kisa mahusiano? nimekua nikipitia wakati mgumu wa kufanya maaumuzi binafsi ya kubadili dini na kufuata imani ya mwenza wangu...
Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda...