Habari za Sabato!
Saikolojia iko hivyo.
Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile.
Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume.
Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo...
Natoa pongezi kwa wanandoa wote na wanandoa feki ambao wanaishi pamoja na hawajaoana. Maana wakina mama vilea mtaani wamekua wengi, mama wajawazito nao wamekua wengi, na huko mahospitalini haipiti...
Wakuu kwema.
Nataka kushare kitu kinachoniumiza moyo lakini sina jinsi.
Nimeoa ni zaidi ya miaka 8 sasa, tuna watoto watatu na tunaishi vizuri tu ndani ya ndoa yetu.
Kitu kinanachonitatiza...
Kwanini dharau zinakuwa nyingi kutoka kwa wadada wa aina hii?
kuna shida gani tukajenga wote maisha tokea chini? Kwani ni lazima unikute na gari tayari?
Hatutaki wa aina yenu wa telegram...
Ukitumia akili utagundua hii Dunia inaendeshwa na matrix
Yaani mawazo ya watu wajinga wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanakuwa controlled na mfumo wa MTU Fulani anayejaribu kusema kuwa kuoa single...
Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa...
Unavutiwa kua na mtoto /watoto?
Watoto wako wamebadili nini kwenye maisha yako?
Wameongeza nini kwenye maisha yako?
Mara nyingi mtoto akiwa mchanga huvutia sana
Namna alivyo na sura yake ya...
Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF...
Good afternoon Wana jamii forums,
Poleni na hongereni kwa majukumu.
Mimi ni mwanamke miaka 47 single Maza wa watoto wawili ,Mume wangu alifariki miaka miaka mingi imepiata ila kabla ya kufariki...
Guyz, nimegundua kuna trend mpya mjini, wanawake wengi hawa wenye manyonyo makubwa a.k.a mtindi na wale wenye manyonyo ya kati a.k.a mabolibo hawavai kabisa bra, yaani mwanamke kavaa dera lake...
Halow mpo salama?
Hako ka msemo ka SAMAHANI MPENZI WANGU NI SHETAN KANIPITIA huwa kana sehem maalumu ya kutumika, sana sana kanatumiwa na jinsia flani hivi imefika hatua mpaka inakera kusikia...
Nmekuwa mara nyingi nikipata visafari vya nje (namshukuru Samia maana kwa kweli tunazunguka zunguka nchi za watu tushindwe sisi tu) basi sikosi kununua Unyunyu wa ukweli huko kwa watu.
Moja ya...
Anachoongea kwa maandishi
"Na nikuambie siri ya watu wanaorudi katika maisha yako. Wanao rudi au unaokubali kurudi. Kwanza, lazima ujuwe kwamba katika level ya watu kudharaulika, wewe uko kwenye...
Nadhani hii sio mimi pekeangu, kuna jamaa ukimuangalia hadi unamuonea huruma, unajiuliza " hivi huyu atapata mpenzi kweli ?" . Ukweli wanawake wanahuruma sana , na kama isingekua hizi sifa za...
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi.
Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo...
Namwangalia tu huyu secretary niliyepewa. Namcheki nasema hii
Anakuja kufungua mlango kwa makalio ndo anayatumia kusukumia mlango hapo mkononi eti kashika documents au kaniletea kahawa na...