Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari za Sabato! Saikolojia iko hivyo. Kihisia na kiakili mwanaume na mwanamke hawana tofauti yoyote ile. Wanawake wana wivu kama tulivyo wanaume. Wanawake wanatamaa ya ngono kama tulivyo...
23 Reactions
317 Replies
4K Views
Natoa pongezi kwa wanandoa wote na wanandoa feki ambao wanaishi pamoja na hawajaoana. Maana wakina mama vilea mtaani wamekua wengi, mama wajawazito nao wamekua wengi, na huko mahospitalini haipiti...
2 Reactions
11 Replies
165 Views
Wakuu kwema. Nataka kushare kitu kinachoniumiza moyo lakini sina jinsi. Nimeoa ni zaidi ya miaka 8 sasa, tuna watoto watatu na tunaishi vizuri tu ndani ya ndoa yetu. Kitu kinanachonitatiza...
20 Reactions
49 Replies
4K Views
Hivi kwa week inatakiwa kufanya mapenzi mara ngapi?
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwanini dharau zinakuwa nyingi kutoka kwa wadada wa aina hii? kuna shida gani tukajenga wote maisha tokea chini? Kwani ni lazima unikute na gari tayari? Hatutaki wa aina yenu wa telegram...
4 Reactions
16 Replies
269 Views
Ukitumia akili utagundua hii Dunia inaendeshwa na matrix Yaani mawazo ya watu wajinga wenye uwezo mdogo wa kufikiri wanakuwa controlled na mfumo wa MTU Fulani anayejaribu kusema kuwa kuoa single...
3 Reactions
16 Replies
176 Views
Mke wangu anatumia sehemu ya hela ninayoacha nyumbani kwa ajili ya chakula kupeleka kwenye michezo yao ya kuchangishana pesa. Mwisho wa siku, nakuta chakula hakitoshelezi wala hakiridhishi kwa...
9 Reactions
43 Replies
724 Views
timu ya mamasta tunaopiga kazi nikujisevia tu.timu bora hapa Tz ni sis hamna wengine kama unabisha dhibitisha hapo chini.........??
2 Reactions
9 Replies
170 Views
Wenzako wanajiremba wanakuwa kama wazungu.anadungwa sindano za kuwa na nyash. alafu unakuta demu lieusi kama mkaa halina nyash.alafu...
2 Reactions
8 Replies
175 Views
Unavutiwa kua na mtoto /watoto? Watoto wako wamebadili nini kwenye maisha yako? Wameongeza nini kwenye maisha yako? Mara nyingi mtoto akiwa mchanga huvutia sana Namna alivyo na sura yake ya...
32 Reactions
243 Replies
3K Views
Najua mnaweza sema kwanini asiondoke kimyakimya....hapana ...Kuna wapendwa wasiponiona huanzisha thread...ndiyo...am not special ila naona ni upendo tu walionao kwa Wana family wote wa JF...
17 Reactions
89 Replies
3K Views
Good afternoon Wana jamii forums, Poleni na hongereni kwa majukumu. Mimi ni mwanamke miaka 47 single Maza wa watoto wawili ,Mume wangu alifariki miaka miaka mingi imepiata ila kabla ya kufariki...
11 Reactions
74 Replies
940 Views
Guyz, nimegundua kuna trend mpya mjini, wanawake wengi hawa wenye manyonyo makubwa a.k.a mtindi na wale wenye manyonyo ya kati a.k.a mabolibo hawavai kabisa bra, yaani mwanamke kavaa dera lake...
13 Reactions
164 Replies
3K Views
Halow mpo salama? Hako ka msemo ka SAMAHANI MPENZI WANGU NI SHETAN KANIPITIA huwa kana sehem maalumu ya kutumika, sana sana kanatumiwa na jinsia flani hivi imefika hatua mpaka inakera kusikia...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Nmekuwa mara nyingi nikipata visafari vya nje (namshukuru Samia maana kwa kweli tunazunguka zunguka nchi za watu tushindwe sisi tu) basi sikosi kununua Unyunyu wa ukweli huko kwa watu. Moja ya...
6 Reactions
23 Replies
564 Views
Anachoongea kwa maandishi "Na nikuambie siri ya watu wanaorudi katika maisha yako. Wanao rudi au unaokubali kurudi. Kwanza, lazima ujuwe kwamba katika level ya watu kudharaulika, wewe uko kwenye...
2 Reactions
8 Replies
262 Views
Yani ninayo yaona marekani nitafoauti na ya huk kwetu bongo.huku marekan mademu hawaombagi hela wao ndoh wanakupa hela. yani huk marekani mademu...
3 Reactions
27 Replies
595 Views
Nadhani hii sio mimi pekeangu, kuna jamaa ukimuangalia hadi unamuonea huruma, unajiuliza " hivi huyu atapata mpenzi kweli ?" . Ukweli wanawake wanahuruma sana , na kama isingekua hizi sifa za...
17 Reactions
100 Replies
2K Views
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi. Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo...
10 Reactions
47 Replies
4K Views
Namwangalia tu huyu secretary niliyepewa. Namcheki nasema hii Anakuja kufungua mlango kwa makalio ndo anayatumia kusukumia mlango hapo mkononi eti kashika documents au kaniletea kahawa na...
4 Reactions
24 Replies
547 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…