Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Kisa hiki ni cha kweli kilinitokea nikiwa safarini kuelekea shuleni. Hadi namaliza masomo yangu ya O-level sikuwa nimewahi kusikia shule inayoitwa Ihungo ambayo ndiyo hiyo niliyochaguliwa...
17 Reactions
64 Replies
47K Views
Imeshakutokea ukawa na mpenzi ambaye wakati unakutana naye ulifikiri ni mpole na atakua hana mambo mengi kitandani, lakini mlivyokutana kwenye mechi akafanya jambo la kukushangaza mpaka hukuamini...
14 Reactions
229 Replies
2K Views
Visababu vyake vinaongezeka ghafla Kila mara yuko “bize,” “amelala,” au “hajisikii vizuri.” Anapotea hasa katika nyakati ambazo unamhitaji akusikilize au akupe umakini wake… Halafu anakupa...
6 Reactions
37 Replies
977 Views
Alikuwa hanipi tendo mpaka nimlipe 400k wakati ni mke Wangu" Manara.. Hii si Mara ya Kwanza Manara kudai kulipia tendo la ndoa kwa mkewe hata kwa yule aliepita alidai hivyo
16 Reactions
198 Replies
8K Views
Uzi huu ni wa kupeana mwongozo,umemwandalia zawadi gani umpendae siku ya valentine feb,14? Kwa upande wangu nitamzawadia ua la upendo na nitatoka nae out kwa ajili ya kuinjoy!
4 Reactions
18 Replies
271 Views
Siku mbili tangu ziibuke taharuki na malumbano katika Mtaa wa Mabibo Wilayani Ubungo Jijini Dar es salaam baada ya nyumba zaidi ya nne na fremu zaidi ya tano kuvunjwa licha ya Mahakama kutoa zuio...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
NB: Talaka zimekuwa nyingi kwakuwa ndoa nyingi hazina maandalizi ya kutosha Hii mada ilikuwa ije weekend lakini naona nakumbushwa Sana hivyo sina budi kuileta usiku huu. Maana mchuzi wa umbwa...
68 Reactions
194 Replies
6K Views
Mwanamke kitambi kikubwa mnakera kuwatizama ila hamjui tu. Hakuna mwanaume anaependa mkewe awe na kitambi utazani ujauzito kumbe kitambi , kama ndo hivi vitambi vyenu wacha tuchepuke tu. Shape...
14 Reactions
136 Replies
2K Views
Katiku Mkuu wa vyama vya wafanyakazi Kenya - Cetral Organization of Trade Unions Kenya (COTUK)
4 Reactions
8 Replies
359 Views
Hey Wajaaaaa!!! Kuna huyu mwanamke anahitaji ushauri wa maana na ulio bora, pasipo kuathiri chochote. Ila kwenye Ndoa kuna heka heka jamanii, huwa nasemaga Njia ya muongo ni fupii, na ukweli...
7 Reactions
141 Replies
2K Views
  • Featured
Wakuu Moyo wangu unaumia sana, naona kama unavuja damu kutokana na maumivu ninayoyapitia karibu kila siku. Mpenzi wangu anatumia muda mwingi sana ku-chat na ex wake, na kila nikimuuliza anasema...
20 Reactions
104 Replies
3K Views
Unaweza kudhani nazungumzia kile unachokiwaza mawazoni mwako... Picha iliyojengeka ya kitu kilichopinduka...! Most likely gari.. Likiwa kichwa chini mijuu guu.! [emoji144] Ama dhana ya kucheua...
12 Reactions
35 Replies
4K Views
Wakuu Nilipokutana naye miaka mitatu iliyopita, sikujua kama ningekuja kumpenda kwa kiasi hiki. Tulianza kama marafiki, tukakaribiana, na baadae nikajikuta nimempa moyo wangu wote. Ni mtulivu...
9 Reactions
39 Replies
682 Views
Wanawake walimu hawatumiki sana.
4 Reactions
46 Replies
685 Views
Kuzaliwa mwanaume ni balaka kubwa sana inabidi umepewa thamani kubwa sana umepewa hazi ya kiongozi umepewa hazi ya mamlaka Mwanaume ata akikaa siku tatu bila kuoga hanuki ila mwanamke siku 1 tu...
9 Reactions
39 Replies
654 Views
Mwanamume mmoja anayeaminika kuwa na umri wa miaka 40 aliyetambulika kama Mitchell Dopoh amedaiwa kumlawiti Mbuzi na kusababisha kifo cha mnyama huyo. Kulingana na ripoti, uchunguzi wa awali...
11 Reactions
77 Replies
986 Views
Hawa watu kutoka kanda ya ziwa ni wakatili sana hasa hasa wanawake yaani ukitaka kuona dunia chungu au ndoa ni chungu oa mwanamke kutokea kanda ya ziwa aisee mimi niliona cha mtema kuni nusura...
5 Reactions
17 Replies
494 Views
Tumekubaliana tukadinyane likataka nilitumie elf 10 ya nauli nikaliambia nitalifuata lilipo usafiri ninao limeamua kuniaga. Hatapeliki mtu
6 Reactions
11 Replies
319 Views
Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea. Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really...
7 Reactions
12 Replies
171 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…