Nina mdogo wangu amemaliza la saba mwaka 2012 ila kwa bahati mbaya hakufaulu. Nimetafuta shule ya kurudia kwa 2013 nayo nikakosa. Ndipo nilipoamua kumtafutia form ya sha private akafanya interview...
Nilikuja dar kikazi kwa takribani siku 4, sasa jana nikawa narudi mkoani kwangu. Wkt nipo Ubungo nimekaa kwenye dar express akaja mama mmoja mtu mzima mweupe amebeba mtoto, akaketi pembeni yangu...
Baada ya kutafakari kwa kina na kwa muda mrefu na hasa baada ya tuhuma nyingi na za mara kwa mara kwamba wanawake tuna roho mbaya ndio maana tunapokuwa mama wa kambo twawatesa au hatuwatreat sawa...
habari zenu wapendwa,
leo nimekaa na kufiikiria kwa nini kunakuwa na nyumba ndogo,kuna nini huko kinachotuzidi?? jibu nikapata wao ni wanawake km sie wanajua kucheza na jiografia ya...
Hivi huwa inakuweje .
Mtu na akili zake anakubali kufanya mambo fulani sehemu isiyo rasmi? Kwenye gari / ofisini / pembezoni mwa barabara . Kibaya zaidi utakuta mtu anampeleka mwenzake adabuni...
Divorce is often a dreaded word for most children. In contrast, I welcomed it when my parent's announced their divorce when I was 15 years old. I was old enough to recognize that their was a...
dem mwenyew hawajawah kukutana ana kwa ana na mshkaji ila wamekutana fb na wameanz mapenz kimtandao zaid lakin wameaidian meng ya kuoana,asa mi nmepew namb ya dem na mshkaj ili nmtafut coz yupo...
Ambaye amesafiri kwa miles kukuona wewe
Ambaya anakuomba msamaha japo kuwa akufanya kosa la kuomba samahani
Ambaye analia sababu anakupenda/Amekumiss.
Ambaye anajaribu sana kukurudisha pindi...
Ni zaidi ya miaka 15 hatujaonana mimi na huyo mdada, kapita mji ninapoishi kaamua kunitafuta, bahati nzuri kafanikiwa kupata namba kwa ndugu zangu anaohishi mji mmoja naye!
Nikakubali kwenda...
Wasalaaaaaaaaaam wazee wa malavidavi mabibi na mabwana!
Naomba kufanya utangulizi kwanza kabla sijasadifu title ya uzi huu!
Kuna mshikaji wangu mmoja hv kaoa takribani miaka miwili sasa kaoa...
habari wana mmu leo katika pitapita zangu kwenye internet nimekutana na hii blog ya udaku http://www.udakuspecially.com yaani ni kwamba kilas stori ninayoisoma najikuta nimeshakutana nayo...
Ni kawaida kusikia Wanaume makazini au mahali popote pale pa mikusanyiko yetu kuwasifia baadhi ya wanawake wanaokatiza mbele ya macho yetu,kitendo hiki hutupelekea wakati mwingine hata kuingia...
Huwa nikisoma coment zake moyo wangu unalipuka, paaa! Nikizitafakari huwa nafikiria namna na yeye alivyo kiundani. Huwa nahisi ni mtu mwenye busara na hekima ambayo wengi wamekosa siku hizi...
hivi kwa nini mmekuwa na roho ya namna hii wanawake ? kwa nini hapendani kiasi hiki ?? inatia uchungu sana tena sana .
.Leo asubuhi nilikuwa kwenye daladala linalotoka Gongo la mboto-Msasani na...
Utengenezaji wa kucha na uoshaji miguu ni biashara inayokuwa kwa kasi hasa maeneo ya mijini ambapo wanawake wengi wanahusudu na kujihusisha na masuala ya urembo.
Biashara hii inazidi kukua huku...
MSHAURI HUYU.
Naitwa Janny,ninaishi jijini Dar es Salaam siku za hivi karibuni nimepata Mchumba ambae amepanga kunioa ili tujenge maisha na familia,lakini kuna mdada alinifuata na kuniambia kuwa...
habarin,
Pamoja na kuwa na wapenzi mbalimbali kwa muda mrefu nimegundua siwezi kutongoza kwani hata hao niliokuwa nao niliwapata kwa sifa za class akili hasa uwezo wangu wa hesabu na physics sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.