Jamani huyu jamaa ametupotezea sana ndugu zetu kwa mauaji ya ovyo ovyo! ameua watu kama vile anaua ndege jamani!
kwa mara ya kwanza alikuwepo jmaa wa kwanza alieitwa 'kinonke' ambae kwa mujibu wa...
MMU ingekuwa nchi madarak yangekuwaje?
On my side
Uprezdaa angechukua Mode
Waziri mkuu:Mtambuzi
Wizara ya Fedha: The Boss
Wizara ya afya: Watu8
C.A.G:City hunter J
Wizara ya mambo ya...
Habari wana MMU.
Nilitokea kumpenda sana binti mmoja lakini sikuwa na uwezo wa kuingia kwenye uhusiano naye kipindi hicho na najua alijua kuwa nampenda lakini kulikuwa na vizuizi flani flani...
Adamu Bwana!!!
Baada ya kushawishiwa na Hawa kula tunda na akakubali nilitegemea angewajibika kwa maamuzi yake au japo angemkinga mke wake.
Lakini alipoulizwa tu kwa nini umekula. akakimbilia...
Leo nataka kufanya utafiti mdogo kwa akina dada ambao hawajaolewa. Swali langu ni hili:
Kwa mfano una elimu ya ngazi ya shahada na unafanya kazi nzuri yenye mshahara na marupurupu si haba...
MWANAUME KUMGHARAMIA MWANAMKE(KUHONGA) NI AMRI YA MWENYEZIMUNGU
Kutokana na ugumu wa maisha wanaume tumegeuka kuwa walalamikaji linapofika suala la mpenzi wake kuwa very dependant sana kwako...
Habari zenu wanandoa wote wa MMU,
Michepuko katika ndoa ni noma, kaa katika mstari wa ndoa yako, baadhi ya michepuko yenyewe inatokea hivi;
Funguo ambae ni mume wa Kufuli yuko nyumbani kwake na...
Ni ngumu kukubaliana nami kama nawe ummoja wa wale wanaume wanaoendeleza unyanyapaa kwa wanawake, mama zetu hawa wamekuwa ni wahanga kwenye kila jambo baya, hata humu jamvini post nyingi za...
Wapendwa wana JF na wadau wa jukwaa letu pendwa la MMU, karibuni kwenye kiringe hiki tufunge mwaka wa 2013 na tuanze maandalizi ya kipindi kigumu cha 2014 kuelekea 2015!
Katika pita pita yangu...
Hi...... wana jukwaa.
Kuna jambo limekuwa likiwapa wakati mgumu baadhi ya vijana kutokana na aina ya kazi wanazo fanya hii ni kwa sababu ya dhana fulani inayokuwa imejengeka katika makundi ya...
Nina jamaa yangu ana demu wake ana mgharamia kila kitu
1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,
2. Kamnunulia gari fortuner,
3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi...
Habari zenu ndugu wanajf wenzangu,hamjambo?
Kuna jambo moja linanitesa na kuninyima raha ndugu zangu,ningependa kuliweka wazi kwenu ili mwenye msaada wake aweze kunisaidia.
Nimekuwa na urafiki...
Za jioni wana MMU,kufuatia malalamiko ya wanaume wengi sana humu jukwaani na huko mitaani juu ya kuombwa hela,...
Binafsi nafikiri kuna haja ya kujifunza namna/mbinu za kumfanya Mwanaume...
Hello wadau niko njia panda kuhusu ni msichana yupi nioe kati ya hawa
WA KWANZA
Huyu tupo kwenye mahusiano kwa mda wa miaka miwili na hakuwahi kuwa na mwanaume yeyote na lengo letu lilikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.