Kuna umri utafika utakua peke yako au na houseboy wako au housegirl wako.
Muombe Mungu umri huo ukukute na mke au mume.
Umri ambao utakua unapokea simu za kuambiwa mzee fulani kafariki,umri wa...
Nani kawahi kukutwa na hili jambo kufukuzwa ama alimfukuza mwanamke nyumbani kwake baada ya kunyimwa ngono au wenyewe mnavyoita kizungu sex
Kisa changu mimi ππ
Kuna Kijana mmoja nimemuwekaga tu...
Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine...
Yes baadhi mnamjua mwanamke mmpja motivation speaker wa maswala ya ndoa anajiita mchungaji Rose Shaboka alikuwa anawafunda sana mabinti kuwa wakiwa na wanaume wao ndani ni mwendo wa kuvaa bikini...
Ni ushauri wa Bure Kwa mwanaume anayetaka kubaki kwenye nafasi yake ya uanaume.
Ambao mmeamua kuleft siwashangai Wala kuwadharau uanaume ni kazi ngumu sana
Huwezi kuambiwa jikaze kimwanamke ...
Mademu ni dhaifu sana kwa wanaume weupe ila wanachokutana nacho huko kusalitiwa mara kwa mara licha ya juudi wanazofanya ndo wanavungaga wanawapenda wanaume weusi jambo ambalo so kweli
Yani...
ugonile,
Ntakua wa mwisho kuamini kuwa Aziz Ki kafanya maamuzi ya kufunga ndoa na Hamisa bila kupigwa juju
Wanawake wengi wa kibongo wanatabia kwamba wakipata mchumba au danga lenye vijisenti...
1. Penzi la mlinzi 2. Penzi la mama mkwe 3. Nakupenda jirani 4. Penzi la mwanafunzi 5. Siri ya kitanda 6.muuza shanga na movie nyingine nyingi maudhui yake ni ngono,kiukweli,kwa upande wangu...
Yani mkaka wa watu anajituma kumhudumia mdada.
Alaf all in all anakutishia atakuacha.kisa na maana kuna lengo fulan hujamtimizia.
Ata yale umefnyia hakumbuk.yaan kwa nn mna tutesa hivi.
Baada ya ejaculation ndio akili zitakurudia na kuanza kujutia.
Vijana kabla ya kufanya ngono chekini afya zenu kama ziko sawa au tumieni protective device.
Kama sio mwathirika wa ukimwi uyo basi umri umeenda sana yupo 30 na kuendelea na pia ana watoto kuanzia wawili na ametelekezwa anatafuta wa kumtulia shida zake
Uwezi kumkuta mwanamke yupo chini ya...
Hii nina uzoefu nalo, unakuta kijana anaoa ili ku prove wrong zile fununu za jamii kuwa "jamaa haisomi" sasa anaamua kuingia ndoani si kwa matakwa yake bali kwa shinikizo la jamii,
Anaenda...