Habari zenu wana MMU.
Baada ya mke wangu kugundua mimi ni mlevi wa mpira,yani kwa sasa nashindwa kumuelewa ana maana gani,wakati mahitaji yote.
Alhamisi niliporudi kutoka kazini,mke wangu...
Ukweli nikiri kuwa kwangu mimi Uchumi umeyumba Sana, Lakini Alhamdulillah pesa ya kula watoto inapatikana.
Mke wangu katika kiduka chake mambo yanaendelea hapa na pale anapata chochote lakini mmh...
Mpo poa?
Rafiki yangu amempata mchumba wakaanza urafiki walipendana sana na wameonana usidhani hawaonani .
Basi kuna siku kaomba aje mahali mpenzi wake kamuita wakala wakafurahia hiyo siku.
Ila...
Ndugu wa na JF habari ya chrismass !!
Nimatumaini yangu mko Salama salimini na bila Shaka mmesali na mko safi majumbani kwenu
Kama ilivyoelezwa nahitaji kuanza MWAKA 2019 kwa tofauti sana
Mm...
Kama kawaida nina mchumba Ila tuko now parallel. Niko naomba msamaha sana ili kuishi naye kwa amani hata simu hapokei.
Najaribu kuonesha mapenzi ya dhati ila hajali maumivu yangu.
Tafadhali...
.
One of the most delicate relationship problems is the issue of EX LOVERS.
Keeping a close contact with your EX is not advisable if you have started another relationship.
Also friendship with an...
Kuna nyakati na siku kama wiki hii huwa najisikia upweke kiasi kwamba naingiwa na roho yakujichukia na pia nakuwa mtu wa hasira sana.
licha yakuwa na elimu na kazi huwa mara nyingi huwa nakosa...
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu kwa...
KWELI DUNIANI KUNA MENGI. Nimekutana nahii aisee nimetoa machozi.......!!!
Alimpenda mno mke wake, alijitahidi kumpa mkewe kila kitu kilochopo ndani ya uwezo wake, lakini mke wake hakuwa...
Ni kweli sifa kuu ya Mwanaume ni kumtunza mke wake na watoto, lakini Mwanamke pia anatakiwa kumsaidia mpenzi wake mambo yakikwama, Dunia ya sasa imebadilika.
Ni hivi
Nimekuwa na mahusiano na...
Tendo la ndoa ni kitendo cha kujamiana kati ya Mwanaume na Mwanamke Aidha , Wataalamu kadhaa wamegundua kuwa tendo la ndoa aka kugegedana ni Raha nambari moja na kuu kuliko zote kwa bianadamu kwa...
Umefika wakati na sisi tunahitaji ndoa za mikataba wa kipindi kifupi, ambapo wanandoa wataweza kuongeza muda au kuvunja mkataba. Hii italeta changamoto kwa wanandoa ili waweze kufanya vizuri...
Mambo wadada ( rafiki Zangu)
Kidogo naomba tukumbushane wajibu wetu katika mahusiano.
Najua hakuna asiyependa mahusiano yake au maisha yake ya kimapenzi yaende Mrama.
Sote tunapenda...
Na amini dunia ilikuwa sehem salama Ila alipo letwa mwanamke mambo yote yakawa yalivyo Sasa,
Kuwa mama Bora,sikufanya wa toto wamchukie baba yao, Bora kuishi Na mwanamke -MALAYA Ila sio mchawi...
Mfano ukiwa na girl friend wako au ukiwa na mkeo ni aina gani ya utii mwanume anahitaji mke wake awe nao kwake, kuna mambo ambayo wanaume hawapendi waulizwe akiulizwa tu anasema huyu mwanamke sio...
Wakuu kwanza poleni na majukumu ya siku. Kiukwel mwenzenu nipo katika hali ngumu, nilikuwa kwenye mahusiano na dada mmoja takribani mwaka umeisha. Sasa toka mwaka uanze amekuwa mtu wa vituko sana...
Mwanaume au mwanamke wa kweli ni yule anayemlinda na kumtunza mwenza, Je ni kweli na tunafanya hivyo? kivipi, wengine tunakuwa makatili na kuwaumiza wengine mnaonaje tubadilike au tuachane kabisa...