mwanzo wetu
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 1,581
- 461
Kama kawaida nina mchumba Ila tuko now parallel. Niko naomba msamaha sana ili kuishi naye kwa amani hata simu hapokei.
Najaribu kuonesha mapenzi ya dhati ila hajali maumivu yangu.
Tafadhali naomba msaada mimi nafanyaje wadau haya mapenzi yakoje?
Nisingekuwa naomba msamaha kadhalika ningeonekana sifai
Niko naomba msamaha ndio ananiona mimi dhaifu sana nifanyeje jamani.
Nawasilisha.
Najaribu kuonesha mapenzi ya dhati ila hajali maumivu yangu.
Tafadhali naomba msaada mimi nafanyaje wadau haya mapenzi yakoje?
Nisingekuwa naomba msamaha kadhalika ningeonekana sifai
Niko naomba msamaha ndio ananiona mimi dhaifu sana nifanyeje jamani.
Nawasilisha.