Hivi ni utii wa aina gani wanaume wanahitaji kwenye ndoa au kwenye mapenzi

Mung Chris

JF-Expert Member
Sep 12, 2017
3,367
3,778
Mfano ukiwa na girl friend wako au ukiwa na mkeo ni aina gani ya utii mwanume anahitaji mke wake awe nao kwake, kuna mambo ambayo wanaume hawapendi waulizwe akiulizwa tu anasema huyu mwanamke sio mtiifu kwangu, kuna mengine wanaume hawataki kuulizwa kwanini, wanaume hawataki kurekebishwa, asiulizwe swali anakuja juu, asikosolewe anakuwa mbogo.

Kwenye mahusiano je ni wangapi wanafikiri swala hili la wao kutaka wawatii linawakera sana.

Je wanawake na nyie mtapenda waume zenu wawatii, wawasikilize na kutekeleza kila muwaambiacho. Hii habari inawezekana mjini tu au vijijini tu.

561fbab812000026007e5323.jpeg
 
swali zuri lakini majibu yake oa mwanamke wa mjini halafu awe na kale wanasema kadegree na ana kazi halafu wewe hauna fedha utausikia mziki wake
Ni malezi tu, malezi kama aliyapata kwa wazazi wake kuwa mume lazima uishi naye hivi basi atakuwa hivyo pia mifano huwa ipo kwa wazazi wake kila ambacho hajakiona kikifanywa na wazazi wake asifanye, mfano wazazi kugombana, kupigana, kurushiana maneno yote haya ni ya kuepuka.
 
Mfano ukiwa na girl friend wako au ukiwa na mkeo ni aina gani ya utii mwanume anahitaji mke wake awe nao kwake, kuna mambo ambayo wanaume hawapendi waulizwe akiulizwa tu anasema huyu mwanamke sio mtiifu kwangu, kuna mengine wanaume hawataki kuulizwa kwanini, wanaume hawataki kurekebishwa, asiulizwe swali anakuja juu, asikosolewe anakuwa mbogo.

Kwenye mahusiano je ni wangapi wanafikiri swala hili la wao kutaka wawatii linawakera sana.

Je wanawake na nyie mtapenda waume zenu wawatii, wawasikilize na kutekeleza kila muwaambiacho. Hii habari inawezekana mjini tu au vijijini tu.

View attachment 1105118

Mwanaume na mwanamke wanapopishana, la mwanaume ndo linapita, huo ni utamaduni na utaratibu wa dini zote....

Nini cha kufanya? Tafuta mwanaume anayetumia logic na aio kubadili utaratibu, utaumia wewe!

Ukiona huwezi msikiliza, usije jamiiforums, mteme
 
Ni malezi tu, malezi kama aliyapata kwa wazazi wake kuwa mume lazima uishi naye hivi basi atakuwa hivyo pia mifano huwa ipo kwa wazazi wake kila ambacho hajakiona kikifanywa na wazazi wake asifanye, mfano wazazi kugombana, kupigana, kurushiana maneno yote haya ni ya kuepuka.
kaka kwa sasa wake tulionao wamelelewa na madada wa kazi wazazi walikuwa buze kutafuta ada wakifika chuo wanapata malezi mengine yakuishi maisha ya thamthilia acha kabisa.!
 
kwa hiyo utashangaa wote anawatii lakini wewe hakutii ?
 
na papuchi iwe ina patikana mara tu inapohitajika bila mizengwe au labda kuna bleed, n.k
ilo ni muhihimu sana kuondoa stress kichwani ukiona haombi anapata sehemu nyingine
 
Mfano ukiwa na girl friend wako au ukiwa na mkeo ni aina gani ya utii mwanume anahitaji mke wake awe nao kwake, kuna mambo ambayo wanaume hawapendi waulizwe akiulizwa tu anasema huyu mwanamke sio mtiifu kwangu, kuna mengine wanaume hawataki kuulizwa kwanini, wanaume hawataki kurekebishwa, asiulizwe swali anakuja juu, asikosolewe anakuwa mbogo.

Kwenye mahusiano je ni wangapi wanafikiri swala hili la wao kutaka wawatii linawakera sana.

Je wanawake na nyie mtapenda waume zenu wawatii, wawasikilize na kutekeleza kila muwaambiacho. Hii habari inawezekana mjini tu au vijijini tu.

View attachment 1105118
shida ni moja unakuta mtu kaoa au kuolewa ila hataki kuwa kama mume au mke trust me thats the problem... ndio mfano utakuta mtu kaoa au kuolewa maybe anachelewa kurudi nyumbani badala ya kufika nyumbani au kufikiri kwamba ninaishi na mke au mume anafika akiulizwa ulikua wapi inakua kelele na sio hayo kuna mengi tuu..... ndio maana watu tunashauriwa tukitaka kuoa au kuolewa tujifikirie...pia kitu kingine ni tabia ya mtu kuna wanaume au wananwake wanasikiliza na anafuata ushauri anaoambiwa na mke au mume wake...na sio wanaume wote ahwapendi kukosolewa au kurekebishwa ni baadhi tuu
 
Back
Top Bottom