Swali eti huyu anamaana gani?

Swali eti huyu anamaana gani?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,126
Reaction score
5,762
Mpo poa?
Rafiki yangu amempata mchumba wakaanza urafiki walipendana sana na wameonana usidhani hawaonani .
Basi kuna siku kaomba aje mahali mpenzi wake kamuita wakala wakafurahia hiyo siku.
Ila baada ya hiyo siku kuna mtu anamuandikia message za vitisho eti achana na mme wangu.
Halafu niile namba ya yule mpenzi wake simu hapokei ila namba hiyo ndio anayotukanwa nayo.
Siku moja simu ikaita kuangalia ni yeye akaamua kupokea oh naomba unisamehe kuna mtu alinikomoa akakupea hayo maneno yote machafu baadae tena akaanza tena kumtukana tena na message za vitisho anapata sasa ameamua kumdelete kila mahali .
Nakublock kwa social medias sasa anamuandikia message nakumtishia tu sasa naombeni mumumshauri
 
Hadi hili la kufikiri kwa sekunde kwake na kupata majibu anataka ushauri???

Ushauri mwambie aachanae na mume wa watu basi vinginevyo yatamkuta yakumkuta makubwa.
 
Hamna cha mwanamme wa watu.

Hatakiwi huyo.

Alitakiwa kwa ajili ya kumegwa tu na kazi yake imeshaisha.
Aiseee umeona mbali sana, yawezekana jamaa yeye mwenyewe ndiye anaetype hizo sms za vitisho.

Wanaume MUNGU katupendelea sana
 
Sjaelewa nieleweshe bas
Rafiki yake eti kapata mchumba bada ya mda anaanza kutukanwa na mwanamke aachane na mumewe ndio kisa hiko sasa huo uchumba wao walishatambulishana pande zote mbili au wa juu juu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom