SITAKI DAWA
Jumamosi, 25/06/2016
Nawaza nianzie wapi kuelezea kilichonikuta nashindwa, lakini hasa ni kukosa maneno ya kukielezea. Nimetamani nikae kimya, nisiseme, maana ninafahamika na wengi...
Habarini Wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada, Speaking honestly kwa ninayoyaona na kuyasoma kuhusu Ndoa yananikatisha tamaa na kunifanya niwe negative minded though we all know kwamba ndoa ni...
Jamani nilisahau kuwaambia nilioa mwezi wa kumi na mbili. Nimeona nitulie tu maana hizi papuchi haziishi utamu kadri unavozila ndio unapata hamu zaidi.
Sasa najiuliza ni mwanzo tu au nitegemee...
nakuambia ndoa ni raha sana asikuambie MTU Mimi Nina mwaka wa kumi na moja kwenye ndoa lakini furaha yetu ni kama siku ile ya kwanza full utani na kupendana sana. Siri ni moja tu kushika dini yenu...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo afrika ya kati nafanya biashara natafuta mchumba nyumbani tz
Sifa zake
1.awe anajielewa
2. Awe mkristo
3.ata km Ana mtoto 1 sio mbya maana ata mimi ninae.
Natumaini wakuu hamjambo kabisa.
Mimi ni baba wa watoto wawili wote jinsia ya kike.
Namshukuru Mungu kwa kunijalia kupata wrembo hawa ila kuna kitu ningependa kushare na nyie wenzangu.
1...
Jamani kwa mfano umeoa mke mmeishi miaka zaidi ya mitatu na hajawahi kukwambia kuwa ana Virusi vya UKIMWI halafu siku unapata habari kwa marafiki zake anavyojinadi kuwa anao ila hawezi kukwambia...
Kuna ndugu yako anayekutafuta hapa
Kulikuwa na mfalme mmoja aliyekuwa na mbwa kumi wakali sana. Alipenda kuwatumia mbwa hawa pindi akitaka kumuadhibu mtumwa aliyekosea.
Mbwa hawa waliwatesa...
Nauliza tu jamani maana mi ndoa yangu 5yrs now hakuna Baby,ila washauri ni wengi mno. wanayonishauri mengine sijawahi hata kuyaona au kuyasikia ila mi ni mgumu sana kufuata ushauri.....Wana J.f...
Salaam Jf
Siku zinaenda, umri unasonga na uzoefu unajengeka.
Kama mwanamme halisi... uzoefu unanionyesha hata chanda kiwe hot kiasi gani, ukipita ule muda wa fantasy period anakuwa wa kawaida...
Watu wanashida kama mimi mnatukejeli na maneno yakujishaua mnayatoa sasa kumuhitaji mganga ni mbaya ?? Mnajua ila kuja PM NDIO TABU KUWAELEKEZA WENGINE ACHENI ROHO MBAYA
Habari wakuu
Japo sio swala jipya ila hata hii ni yenyewe[emoji22]
SITOMWAMINI MWANAMKE TENA
Nimeamua kulielezea hili kuhusu wewe mwanamke tuliyedumu ktk mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja. Sio...
Habari wana jf,
Eti nasikia mods wamenipa ban!!πππ
leo tumepata mkasa wa brother katika ukoo kumgegeda mtoto wa shangazi yake kwa siku tatu!
kwanza tunamlaumu sana binti kwani yeye alikuwa...
Ishu ipo hivi....
Mwaka jana nipo Mawasiliano (SIMU 2000) nkakutana na mwanafunzi wa School of Law, tubadilishana namba mawasiliano yakaanza.
Tukaanzisha casual relation, au labda niite friends...
Hili suala tulisikie tu jamani. mdogo angu kabisa yamemkuta. Ipo hivi; mdogo angu alikuwa na mpenzi wake aitwae ireen. walikorofishana mwezi juni mwaka 2018 wakaachana. Mwezi novemba mwaka 2018...
Sio Kila EX Wako Anayeomba Mrudiane Anamaanisha! Wengine Huomba Kurudi Ili Wakutesti Tu Jinsi Ulivyo Mbulula,Jinsi Usivyo Na Msimamo Na Jinsi Ulivyo CHEAP Na Huna Misimamo Wala Future.
.
Jitu...
Habari wana jf,
Kulingana na kichwa uzi wanawake wenyewe ni kama wafuato:-
1:Sura mbovu kama au sura kama lemi ongala
2:Awe jimama yani nalichinjilia mbali!
3:Awe ameweka picha yeyote ya...