Tellurium
Senior Member
- May 30, 2019
- 132
- 154
Habari wana jf,
Kulingana na kichwa uzi wanawake wenyewe ni kama wafuato:-
1:Sura mbovu kama au sura kama lemi ongala
2:Awe jimama yani nalichinjilia mbali!
3:Awe ameweka picha yeyote ya mwanaume kwenye profile au kwenye post zake.
4:Awe mweusi kama Idd Amin hanifai.
5:Awe hareply comments za watu kwenye post zake najua huyo ana dharau hanifai.
6:Awe hajaweka profile picture au hajaweka recent time.
7:Awe ameweka picha ya mtoto yani hawa ndo wananiharibia mood kabisa.
8:Awe amejichubua kawa kama pundamilia namfutilia mbali.
Kwa kumaluzia yani ninefungua account mpya FB yani kila siku friend request za madem hazipungui 70,kwa hiyo mimi nikuwa fanyia usahili tu kupitia vigezo vyangu.
Yani marafiki zangu wote FB ni wasichana warembo warembo tu.Pia sikubaligi friend request za wanaume nisio wafahamu.
Uzi tayari.
Kulingana na kichwa uzi wanawake wenyewe ni kama wafuato:-
1:Sura mbovu kama au sura kama lemi ongala
2:Awe jimama yani nalichinjilia mbali!
3:Awe ameweka picha yeyote ya mwanaume kwenye profile au kwenye post zake.
4:Awe mweusi kama Idd Amin hanifai.
5:Awe hareply comments za watu kwenye post zake najua huyo ana dharau hanifai.
6:Awe hajaweka profile picture au hajaweka recent time.
7:Awe ameweka picha ya mtoto yani hawa ndo wananiharibia mood kabisa.
8:Awe amejichubua kawa kama pundamilia namfutilia mbali.
Kwa kumaluzia yani ninefungua account mpya FB yani kila siku friend request za madem hazipungui 70,kwa hiyo mimi nikuwa fanyia usahili tu kupitia vigezo vyangu.
Yani marafiki zangu wote FB ni wasichana warembo warembo tu.Pia sikubaligi friend request za wanaume nisio wafahamu.
Uzi tayari.