Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Umri Wang miaka 32. dini mkristo .ni mfanyakazi? nahitaj mke awe mrembo.dini mkristo .umri 23 hadi.28 .awe mwenye kujiheshimu .ambaye Yuko serious anicheki pm
0 Reactions
21 Replies
3K Views
HELLO, For times now I have beeing asking a question or hear people asking why is it so hard for women to treat a man as a man or husband. whereby I did some research of my own talking...
0 Reactions
1 Replies
632 Views
Ni hivi; Tambua kuwa ni dhambi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mke/mume wa mtu hasa kwa Wakristu (rejea amri kumi za Mungu, hasa ile ya 6 na 9, Waebrania 13:4). Ni ukweli usiopingika kuwa...
5 Reactions
44 Replies
6K Views
Mi sijui wadogo zango mna fail wapi... naumia napoona wanaume wanalalamika kila siku nikiwaza hivi mdogo wangu atakuja kupata mke kweli? sisi utamu wetu miaka ya nyuma ulichagizwa na mambo mengi...
73 Reactions
328 Replies
35K Views
Wakuu, Kwa siku za hivi karibuni nimekumbwa na hali nisiyoifahamu, Kila nikifanya sex baada ya tendo naishiwa nguvu kabisa, Kipindi cha nyuma kama miezi miwili iliyopita nilikua nafanya sex kila...
2 Reactions
38 Replies
5K Views
Yani Hapa huwa nashangaa , ladies msome functionality za sites mbali mbali..... yani Site ni mahususi kwa ajili ya dating ila huweki effort yoyote pindi unapokuwa txtd. Kwanini ulijiunga sasa...
3 Reactions
32 Replies
4K Views
wooorap! am back! natumia keyboard kuwapiga mkwara wasionifahamu mimi ni Chalii R napatikana kila kona kama kaya, hadi ulaya mwanao nina himaya. mimi ndimi. ebbanae nasikia wanawake ambao...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Nilianzisha mahusiano na huyu mwanaume miaka miwili na nusu ilopita. Baada ya miezi 6 ya mahusiano nilishtuka kajihamishia kwangu. Sikuweza kumfukuza i just decided to play along though...
16 Reactions
310 Replies
22K Views
Ndugu wanajamvi natumaini ni wazima wa Afya Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Wengi katika Wanawake siku hizi wameshindwa kujua nini maana ya neno ndoa. Wanadhania ndoa ni kupika na kufua...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Waungwa naomba kusema nanyi.. Waungwana, Wanawake wengi wanaangalia video za ngono, huu ni ukweli usiojulikana kwa wengi. Naweza kusema kati ya wadada 10, 6 kati yao simu zao zina video za...
7 Reactions
75 Replies
12K Views
Kuna Siri gani Kubwa ambapo mkiwa Mapenzini ( Ngononi ) na hasa wakati ule Mshindo baina yenu unakaribia ( namaanisha mnakaribia Kukojoa ) kuna Maneno ambayo huwa mnayatoa na ni ya ajabu ajabu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ukioa mwanamke mwenye chura kubwa halafu mkabarikiwa kupata watoto. Mkipata mtoto wa kike ur safe but mkipata mtoto wa kiume there will be two things involved. It either mtoto huyo afuate sura na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Makabila yalitojwa humu yote yananihusu, waweza ona vinasaba nilivyonavyo...... K' Moja Mtata. Waume ni wadodo, watumba ni wadodo, mamia mwai ni mdodo..... auma uma..... Wabwanga nnanao, wandee...
2 Reactions
11 Replies
5K Views
Aisee hakuna stress kubwa kama umependa wanawake na ukaamua kumtongoza kwa maneno kapambe kuwa upo single for a long time na blalabla kibao lakini kabla hajakukubalia unaona amepost status yake...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Ushauli wenu wana JamiiForums, Ni miezi 8 sasa nipo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke ambaye mwanzo nilifikiri angefaa kuwa mke wangu, nilikuwa sijui kuhudumia mwanamke kwake nimejifunza...
3 Reactions
64 Replies
12K Views
Nina experience kubwa sana ya ajira za watu binafsi Nakuambia hivi usije tegemea ajira ya mtu binafsi,usitegemee kuajiriwa hata kama unalipwa trilioni utanyanyaswa tu,utakosa...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
MDOGO WANGU ANAHITAJI MSAADA WAKUU, Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 20-25 mwenye asili ya mmoja ya wapo ya kabila kubwa la nyanda za kaskazini nchini. Ni kijana handsome boy (huambiwa...
1 Reactions
126 Replies
15K Views
Juzi kati nikiwa naangalia mpira wa AFCON kwenye Pub iliyo karibu na makazi yangu hapa kupitia SuperSport baada ya Azam Tv kukinukisha kufuatia msiba wa wafanyakazi. Kwenye hii Pub kuna Bamaid...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kila kitu kina faida na hasara katika hii Dunia...Je ni kweli ama si kweli?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wana MMU, Niko kwenye mahusiano yenye malengo miaka 2 sasa,huyu mpenzi wangu nampenda maana ana sifa nyingi nzuri ila tu ana asili ya unene (thick woman) na mfupi afu mi ni mrefu na...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…