Financial Freedom
JF-Expert Member
- Nov 14, 2016
- 1,250
- 2,314
Salaam wana MMU,
Niko kwenye mahusiano yenye malengo miaka 2 sasa,huyu mpenzi wangu nampenda maana ana sifa nyingi nzuri ila tu ana asili ya unene (thick woman) na mfupi afu mi ni mrefu na mwembamba (slim man) yaani nikitembea nae siwezi mshika kiuno zaidi ya kuweka mkono begani,hata kumkumbati kichwa chake kinaishia kifuani tu.
Katika vigezo vyangu vya mke wa ndoto zangu napenda awe mrefu na mwembamba but huyu nilimkuta bikra nikachanganyikiwa nikaingia kwenye mahusiano je niendelee nae mpaka ndoa au maana hizo sifa mbili tajwa hapo juu naona kama ni changamoto yeye kuwa mke wa ndoto zangu...
Niko kwenye mahusiano yenye malengo miaka 2 sasa,huyu mpenzi wangu nampenda maana ana sifa nyingi nzuri ila tu ana asili ya unene (thick woman) na mfupi afu mi ni mrefu na mwembamba (slim man) yaani nikitembea nae siwezi mshika kiuno zaidi ya kuweka mkono begani,hata kumkumbati kichwa chake kinaishia kifuani tu.
Katika vigezo vyangu vya mke wa ndoto zangu napenda awe mrefu na mwembamba but huyu nilimkuta bikra nikachanganyikiwa nikaingia kwenye mahusiano je niendelee nae mpaka ndoa au maana hizo sifa mbili tajwa hapo juu naona kama ni changamoto yeye kuwa mke wa ndoto zangu...