Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Aisee hakuna stress kubwa kama umependa wanawake na ukaamua kumtongoza kwa maneno kapambe kuwa upo single for a long time na blalabla kibao lakini kabla hajakukubalia unaona amepost status yake kwenye WhatsApp yupo na Ex girlfriend wako!na ukikumbuka ulimbwaga kwa madoido X wako!
Hapo unajikuta mapigo ya moyo yanaenda kasi kama
Bombadia
NB,ili mwanamke akubali ama kukataa inategemea sana Rafiki yake atamshauri vipi
Hapo unajikuta mapigo ya moyo yanaenda kasi kama
Bombadia
NB,ili mwanamke akubali ama kukataa inategemea sana Rafiki yake atamshauri vipi