Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakuu wazima... Sasa shilingi imegeuka upande wa pili, ikiw na maana sasa wadada wananunua penzi. Hapo awali shilingi kabla haijageuka, vidume walipata tabu sana. Yani kama huna senti basi...
8 Reactions
45 Replies
6K Views
Amani kwenu wadau Kila ikifika sikukuu ya idd kama leo nakumbuka dada mmoja alinipatia sikukuu nikajibweda bureee bila malipo, Siku hiyo baada ya kumaliza kupata chai nikatoka nikakaa barazani...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Hellow! Unachukuliaje kauli ya dada na shangazi zako kukwambia mara kwa mara "ukituletea mke wa ajabu tutampiga" na ukiangalia wao (hasa mashangazi) wengi wamezalia nyumbani zaidi ya mtoto mmoja?
5 Reactions
22 Replies
3K Views
Nakumbuka siku moja nilmpiga demu mmoja mpini wa maana ilikiwa jion nilimuwasha ya ela yote mpaka hamu yote ikaisha akaondoka imefika usiku saa 2 iv yan kama lisaa tu baada ya shoo ghafla manz...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wadau, Utafiti huu upo katika uhalisia wa maisha tunayoishi siyo katika vitabu kumekuwepo na mkanganyiko sana hususani kwa vijana wa leo linapokuja suala la kufanya mamuzi ya kuchagua...
3 Reactions
43 Replies
9K Views
Habari zenu wana JF. Wiki iliopita kwangu ilikuwa mbaya kwenye mahusiano ya mapenzi kwasababu ya kufukuzwa ukweni. Mwezi wa saba mpenzi wangu alinikataza kutaniana na shoga yake kipenzi(best...
3 Reactions
74 Replies
8K Views
Poleni na majukumu mabaharia, Hiki ni kikao cha dharula kwa mabaharia wote, leo tumekutana tena naomba naomba tuijadili 7800 kwa kina Napendekeza 7800 ndo iwe nauli rasmi haijalishi anatoka...
9 Reactions
70 Replies
7K Views
Habari wana jamii, Ningependa leo tujifunze kitu rahisi tu katika mahusiano, huwa dada zetu wanapenda kufanya mambo kuwa magumu jambo linalopelekea kuingia katika mahusiano ya hovyo sana...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Binti: Wanaume wenyewe siku hizi hawaeleweki Wenzake:Kweli kabisa yaani bora uzae tu.(Wanasahau kuzaa na mtu ndio kitanzi cha milele na huyo ulezaa nae mwanaume asieeleweka pia.) Kijamaa:Baby mi...
4 Reactions
78 Replies
6K Views
Mods: Naomba msiunganishe huu uzi na ule wa kwanza.....please! Wapendwa, kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kabisa kwa wote ambao mliweza kuchangia uzi uliokuwa na title "mume...
3 Reactions
102 Replies
12K Views
Imetokea. Shemeji alivyo mcheshi, mpole na mchangamfu na mwenye kujali ni ngumu kuamini.. Ilikua kama utani baada ya kujifungua na mtoto kukua na kuanza kuonyesha tabia zake, ndipo wakubwa wakaya...
8 Reactions
73 Replies
6K Views
Nina mpenzi wangu nampenda sana ila wazazi wake hawanihitaji kwa kusema mtoto wao atapata shida kuishi na mimi. Nampenda sijui nifanyaje?
3 Reactions
45 Replies
4K Views
SALAMU SANA AMA BAADA YA SALAMU Nimetongoza mwanamke, amekubali. Lakini hataki kutoa papuchi kwa visingizio viiingi visivyo na mbele wala nyuma. mara anaumwa, mara muda haujafika wa kunipa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari zenu wadau..Hopefuly mko njema,Sasa bhana sina perepete mingi acha nichumpe moko moko hadi kwenye topic..To be honest Sehemu ya nyuma ya goti la manzi huniteka kinyama,yaani nikidekerea...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Utangulizi Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 35 kwa sasa nahitaji Kuoa kwa sababu nimetosha kuwa na mke vile vile nimetosha kumudu majukumu ya kifamilia. kiuchumi, kifikra, kijamii nk...
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakubwa habarini za muda huu kuna rafiki yangu kuna demu alikuwa anamkubali Sana Ila demu wanaishi mkoa tofauti sasa mchizi akataka kwenda kuonana na demu.demu akamletea sheria kibao jamaa akaona...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habar! ninaishi Dar, I’m 28 years old christian, Lutheran church na nimeajiriwa, ninatafuta mme,nimechoka upweke na nahitaji mtu serious anaeishi dar kwa ajili ya ukaribu. Thanks. Serious issue...
21 Reactions
184 Replies
26K Views
Swaga za wanawake 1. Ndio nakuja ila ujue sikai sana 2. Nishukie wapi? 3. Saizi saa ngapi nataka kuondoka 4. Ubaya wako utaingiza yote 5. Uingize kichwa tu 6. Funga mlango kwanza 7. Sikai sana...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Wanawake siku hizi ndo maana hawaolewi kwa sababu wamekuwa wanajirahisisha sana kwa kila mwanaume. Akitongozwa kidogo tu anaachia na mzigo baada ya muda anatemwa. Mtalalamika sana eti waoaji...
9 Reactions
170 Replies
16K Views
Nimeinakili kutoka group la Whatsapp. Simjui mwandishi but its worthy sharing. Japo ningefurahi kumjua mwandishi ili nimpe credits zake. Hili kwangu ni andiko bora kwa mwezi huu. _________ Michael...
34 Reactions
70 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…