Je jamaa alikuwa sahihi au ?

Je jamaa alikuwa sahihi au ?

je parle

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2018
Posts
2,102
Reaction score
4,082
Wakubwa habarini za muda huu kuna rafiki yangu kuna demu alikuwa anamkubali Sana Ila demu wanaishi mkoa tofauti sasa mchizi akataka kwenda kuonana na demu.demu akamletea sheria kibao jamaa akaona isiwe shida akaona apotezeee na mahusiano yenyewe je huyu rafiki ilikuwa ushamba wa mapenzi au demu alikuwa anatafuta sababu ya kuachwa?
 
Amefanya jambo la Msingi sana, kuepushana na shari.

Kifupi huyo Demu huko alipo ana BAHASHA mwingine, ndio maana huyo Demu anamuwekea MSHIKAJI wako vikwazo tele.

Nampongeza sana MSHIKAJI wako kwa kuona mbali
 
Ukute moja ya hizo sheria aliambiwa atume picha.

Mbili, tutakutana hotelini maana sitaweza kupeleka kwetu/kwangu naishi na mdogo/wazazi wangu

Uniletee zawadi ya _____ ukija.

Ukija tunaenda kujitambulisha ili unioe.

***najaribu kuwaza tu!, ukute hizi ni moja ya hizo sheria nyingi***

Ila kwa vyovyote jamaa yako yupo sahihi kumpotezea wala si ushamba bali ni kufanya kile moyo umekusudia kifanyike.

Ila bonas ushauri: siku nyingine mwambie jamaa yako asiwe na tabia ya kujieleza sana kwa mwanamke, ataonekana tapeli wa mapenzi.
 
Hivi na hili tunaliongeza kwenye yale matatizo ya makosa tuliyoyafanya october 25/2015?
 
Mapenzi ni kama siasa awamu yako ikiisha wapishe wengine
 
Back
Top Bottom