Kijana anakutana na mwenzake, wanakuwa na mahusiano, baada ya hapo wanaanza kuishi pamoja kama mume na mke.
Wanapata watoto, wanasaidiana majukumu, wanatambulishana ndugu zao, n.k.
Miaka mingi...
Habarini Wana Jamvi.
Nimeamini kweli Mke Wa Mtu ni sumu jamani, lilichonikuta mwenzenu basi nimekoma.
Picha Ilikuwa Hivi.
Week Iliyopita Nilipata Dili Furani Kijijini, Baada Ya Kufika Kule...
Mwaka jana mwanamke mmoja aliomba Gerald .Aliomba TSH200k as a kwa dharura. mara ya kwanza aliogopa lakini mwanadada alilia . Alikua anaitwa Mwende
Hakuwa na pesa kwa hivo ilibidi aombe...
Wakati yeye akipambana apate japo Abaya ya sikukuu ya Idi kutoka kwangu yeye analeta zawadi iliyopitwa na wakati ya soksi pea mbili za buku buku nimefadhaika na kuhuzunika sana ni bora asingeleta.
Wewe jimwambafai tu kuwa unawaweza wanawake,ipo siku yako inakuja ukimkorofisha akuachie hako katoto hata ka miaka miwili tu nyumbani yeye aende kwao, utatamani ukapige magoti kwa wakwe zako arudi...
Unakuta mwamba ana wake wawili watatu ila kila siku unakutana nae kwa wakina fatuma ndala ndefu na jesca utelezi.
Polygamy haijawahi kua dawa ya kushinda uzinzi wa mwanaume.
Polygamy ni...
Habari zenu wana JF
Bila kuponda muda niende moja kwa moja kwenye mada husika
Hivi ni sawa kwa mtu awe mwanaume au mwanamke kukosa ujasiri wa kusimama na mpenzi wake mbele ya EX wake.
Jamani...
1. At the age of 14, they look very sweet, fresh and beautiful
2. At 16, they probably have their first s*x, they stick to one guy and talk about how they won't leave him.
3. At 18, they are in...
Leo katika arakati zangu za udereva boda boda nikampakia jamaa frani ambae kapanda sana hewani Yani ni mrefu sana alafu kazajia kinoma inaonekana ni mtu wa Jim sana bas akanipa safari ya kumpeleka...
Baadhi ya wanawake,si wote wanadharirisha sana,unakuta mama mtu mzima kavaa suruali aibu tupu,suruali imembana mpaka inaonesha maungo adhmu ya ndani,
Tunawafundisha nini watoto wetu na jamii kwa...
Wanaodai kufanya sex zaidi ya 2 min MPAKA WENGINE ufanya 45 min na 1hr , kama wahubiri wanahubiri na kuomba masaa 6.
Unapata nini? Sex ni burudani sio kazi ukichoka BAADA ya sex hiyo sio burudani...
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kukaa single naona kama sijakamilika bila kuwa kwenye mahusiano wala kuwahi kuchakata mbususu hadi namaliza, naamini kuna jf experts mliowahi kuvuka hii hatua...
Wakuu,
Hali ni mbaya kila pembe nchini,ukiwa mji wowote ktk nchi hii huwezi kutembea mita hamsini bila kukutana na mwanamke aliyevaa nguo fupi na ya kutia kinyaa na aibu kwa watazamaji.
Unakuta...
Kuna jamaa kitaa ni bodaboda ana mke na mtoto mmoja, mke wake alipoondoka kwa kugombana,jamaa sasa amekuwa mtu wa mawazo kila muda,anakuja na kujiinamia tu,
Mipangilio wa maisha yake imebadilika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.