Mwanamke mmoja wa Uganda aitwaye Fortunate Kyarikunda, amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumlipa Mwanaume aliyekataa kuolewa nae, fidia ya zaidi ya shilingi milioni 14 za...
Hamjambo
Binafsi nina ombi nalileta kwenu,natafuta mwanamke mwembamba haijalishi umri,rangi,tabia au kabila.Kwa upande wangu nipo sawa umri wangu nipo stage ya tatu.
Kama yupo humu ndani au kuna...
Hii inanikuta, yani ukishafika kwako ni kama unapigwa na kitu hivi akili inazinduka,
Unaona hapa mbona naenda kuongeza bajeti zisizo na msingi tena, mood inakata mazima
Inakuwa ukikutana nae...
Wakuu,
Msemo wa akufukuzaye hakuambii toka, wahenga hawakupindisha kabisha inatakiwa ujiongeze
Ukali kwa jambo dogo
Anajibu lakini haanzi mazungumzo
Anasema yuko busiy mara nyingi kuliko kusema...
1. Ufugaji wa kucha ndefu. 2.
Upakaji wa rangi kucha, nazungumzia mguuni na mikononi
3. Upakaji wa wanja,shedo,hina na makanjanja mengine
4. Usukaji wa nywele kwa rasta za kununua. Na log...
Ndugu zangu hope mko poa.... mwenzenu natafuta mchumba wa kike😀😀 hapo nimeona niweke sawa maana kuna Vijana wa hovyo humu.
Kama hapa yupo aje pm tuyajenge asante kwa kunisikiliza
Experience yako ni ipi?
Maana uswazi haiwaishiwi misemo
Shemeji kula...
Hainaga ushemeji..
Shemeji kinyama cha hamu..
Shemeji ni Dada akiwepo...
Cha dada ni changu pia...
Shemeji wa kiume je!?🤨
Naam, hawa viumbe acha tu, Waliosema ishini nao kwa akili hawakukurupuka, haikumaanisha kuwa hawana akili bali upeo wao ni mkubwa sana na usipokuwaa na akili za kudeal nao, rafiki yangu umeisha...
Aurelien Tchouameni kiungo wa Hala Madrid amemfumania mpenzi wake Suzette Carter akiwasiliana na mwanaume mwengine kukiwa kuna kila dalili ya kuwa wana mahusiano ya kipenzi licha kumpatia zaidi ya...
Ndugu zangu eid mubarak
Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote...
Kuna ka ukweli, Dar kutoa over 1.5 tunatoa wachache sana ,
Vichwa vya vijana wa Dar vipo vinawaza utajiri na mikeka hata hiyo hamu ya kutoa over 0.5 ni kisanga.
Kiukweli mechi za mikoani kutoa...
UKIONA REDFLAGS HIZI USIOE 🚩
Sio kila anayekupenda anafaa kuwa mke wako, Wengine ni majaribu ya maisha.
Kabla hujaoa, fungua macho yako vizuri 👇
1. Hana tabia ya kukubali makosa
Kila kitu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.