inawezekana ww ndie mchumba mwenyewe ila hamjuani tuMkuu vipi ulifanikiwa kupata hicho chumba/ mchumba??
Hahaaa, yawezekana kbs, ngoja aseme kama bado hajapata nimfate huko pm miyeinawezekana ww ndie mchumba mwenyewe ila hamjuani tu
Inabidi nikuungie wewe sasa kapata yule huoni kimyaHahaaa, yawezekana kbs, ngoja aseme kama bado hajapata nimfate huko pm miye
Hahaa, hapana mleta Uzi hakua na vigezo vingii, umri tuu, sasa wewe huenda una vyako vingine vilee ,Inabidi nikuungie wewe sasa kapata yule huoni kimya
Hahaha mm simple tu waifu matirio kama hapo vipo mkuu jipime sasaHahaa, hapana mleta Uzi hakua na vigezo vingii, umri tuu, sasa wewe huenda una vyako vingine vilee ,
Aargh umeona sasa, vigezo vyako, mi namtaka huyu mleta tangazo umri tuu,uwe material usiwe its okay kwakee,wewe sikufai maana kama ni material Mimi ni ile material fakeHahaha mm simple tu waifu matirio kama hapo vipo mkuu jipime sasa
Hahahha haya mkuu umeruka viunziAargh umeona sasa, vigezo vyako, mi namtaka huyu mleta tangazo umri tuu,uwe material usiwe its okay kwakee,wewe sikufai maana kama ni material Mimi ni ile material fake
Changamkia nafasi hiyo naona bado inakusubiriMkuu vipi ulifanikiwa kupata hicho chumba/ mchumba??
Hahaa ,mleta tangazo hajibuu,sijui kapata duuhChangamkia nafasi hiyo naona bado inakusubiri
kweli sijaruka mkuu, sitaki nikudanganye material kumbe siyoo ukajutaaHahahha haya mkuu umeruka viunzi
Aiseee!! Mwanaume anagomea PM?Hahaa ,mleta tangazo hajibuu,sijui kapata duuh
No sijamfata pm bana, natania tuuAiseee!! Mwanaume anagomea PM?
Haaaaaaaa... Mleta mada unalala sana! Wahi huku, financial services want to offer sxual servicesNo sijamfata pm bana, natania tuu
Duuh, I'm not offering that kind of service, you Mr Jango vipii .Haaaaaaaa... Mleta mada unalala sana! Wahi huku, financial services want to offer sxual services
sorry! Lkn nilimaanisha ukishampata si ndo unampa hizo servicesDuuh, I'm not offering that kind of services, you Mr Jango vipii .