Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Ruto wewe ni mkritsto Unampenda Mungu achana na mambo ya kuharibu hioo nchi kaa chini malizana na naibu wako Hakuna sifa mtu atatoa kwa kelele zinazoendelea huoo kenya Naibu Rais Gachagua leo...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
The Zambia Civil Aviation Authority (CAA) has suspended all Kenya Airways flights into Lusaka as of early October 2024. The exact reasons for this decision have not yet been fully disclosed, but...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naibu Rais mh Gachagua akiwa Kanisani amewaomba msamaha Wakenya wote kama kuna jambo amewakosea Aidha Gachagua amemuomba msamaha Rais Ruto na Wabunge endapo aliwakosea jambo lolote Citizen Tv...
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakili na mwanaharakati Morara Kebaso wameshambuliwa na baadhi ya wananchi wenye hasira kali katika ukumbi wa ‘Bomas of Kenya’ wakati wa zoezi la ushirikishwaji wa umma kuhusu pendekezo la...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Inadaiwa hakuna mtu alikuwa anamjua au kufuatilia Siasa za Gachagua hapa Africa Mashariki Lakini zoezi la impeachment limefanya Rigathi Gachagua afahamike Dunia nzima Kwa sasa Gachagua Ndiye...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Nathan ni sahihi siasa za gulioni zikadhibitiwa ili zisiathiri usalama na utengamano wa nchi. Ndio maana China, Urusi, Tanzania zina siasa zenye mtangamano. Mambo ya siasa za gulioni (demokrasia...
1 Reactions
9 Replies
694 Views
Wakuu, Viongozi Afrika Mashariki wameingiwa na pepo gani? Kutoka nchini Kenya mwandishi anayejulikana kwa jina la Bruce John ameripotiwa kuteswa na kulawitiwa mara baada ya kufichua uovu wa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimekua nikifuatikia kampeni za Nasa na Jubilee kuelekea kwenya uchaguzi, na nimegundua kwamba muda mwingi sana hawa jamaa baada ya kuhubiri manifesto zao ni kunyosheana vidole. Je hivi nii hii...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa...
1 Reactions
19 Replies
976 Views
Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang'ula ametangaza ushiriki wa wananchi katika hoja ya kumng'oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Oktoba 4, 2024 kutokana na tuhuma za matumizi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwendeshaji wa kituo cha kulelea watoto Kiambu afikishwa mahakamani kwa kutumia watoto kutengeneza video za ngono Mwanamke anayesimamia kituo cha kulelea watoto katika Soko la Wangige, Kaunti ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kenya imewasilisha Bunge la seneti mswaada wa kuongeza muda wa Rais Kutawala kutoka miaka 5 kwenda miaka 7 sanjali na kuunda nafasi ya Waziri Mkuu. Kenya ambayo chadema huwa wanaitolea mfano ni...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Naibu wa rais Kenya amelazimika kukimbilia mahakamani kujaribu kuzuia mchakato wa kubanduliwa kwake ofisini ingawa uwezekano wa bunge kumuondoa bado ni mkubwa zaidi. Tayari wabunge wapatao 242...
5 Reactions
77 Replies
4K Views
Barua ya usajili: Mwamba mwenyewe ndio huyu (mwazilishi): Meanwhile in Bongo:
13 Reactions
47 Replies
2K Views
Endapo muswada wa kumbandua Rigadhi Gachagua naibu wa Rais wa sasa utafanikiwa, unadani ni yupi kati ya hawa wanaotajwa, ana nafasi kubwa zaidi kukwaa nafasi hiyo muhimu serikalini? 1. Anne Mumbi...
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Hayo yameelezwa na wabunge baada ya hoja maalumu ya kumbandua naibu wa Rigathi Gachagua kuwasilishwa bungeni mchana wa leo Oct 01.2024. Kiongoza wa wachache bungeni Mh.Junet Mohamed alitoa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Corruption, bullying, undermining Ruto; 10 reasons why MPs want DP Gachagua gone Deputy President Rigathi Gachagua will face his moment of truth on Tuesday afternoon when the impeachment motion...
0 Reactions
0 Replies
949 Views
Baada ya wabunge 291 kuunga mkono hoja ya Makamu wa Rais nchini Kenya Rigathi Gachagua kuondelewa madarakani, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kenya, Moses Wetang'ula ameidhinisha hoja hiyo kujadiliwa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hoja maalum ya kumwondoa ofisini Makamu wa Rais wa Kenya Rigathi Gachagua, imewasilishwa bungeni na Mbunge wa Kibwezi Magharibi Mutuse Mwengi. Kwa mujibu wa Spika wa Bunge Moses Wetangula...
2 Reactions
2 Replies
688 Views
Nelson Amenya, kijana aliyefichua mazungumzo ya siri kati ya serikali ya Kenya na kampuni ya Adani Group ya India kuhusu mpango wa kuchukua usimamizi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo...
1 Reactions
3 Replies
469 Views
Back
Top Bottom