Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Ni kauli ya Mh Ruto Ahsanteni sana Mlale unono 🐼
3 Reactions
5 Replies
421 Views
Mungu wa mbinguni ni mwema wakati wote Kwani anatuletea mifano ya wazi ya kule kunakopigiwa kama mfano bora wa Katiba mpya na Chadema Pamoja na Katiba mpya lakini Rais wao anasema enough is...
1 Reactions
77 Replies
3K Views
Kanisa kujengwa Ikulu maana yake Yesu Kristo ndiye Mfalme wa hiyo nchi Sasa Ukristo ni Dini ya Upendo siyo Visasi Kwenu Wagalatia πŸ˜„πŸ™
1 Reactions
4 Replies
291 Views
Nchini kenya kumekuwa na maandamano ya kila mara yaliyoibuka kuanzia Rais William Ruto alivyoingia madarakani na yamekuwa yakishinikiza mambo mbalimbali yanayofanywa na Ruto na tukumbuke kuwa Ruto...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Kuna watu wachache wanapuyunga mtandaoni wakiitukana Kenya iliyo na katiba mpya huku wakisema bora wangebaki na katiba yao ya zamani tu . Hawa ni watu wajinga wasioifahamu vizuri Kenya ya Jomo...
3 Reactions
8 Replies
421 Views
Mahakama Kuu Kenya wameamuru watoto waliozaliwa nje ya ndoa wapate mirathi na imezua gumzo katika Muslim Community Kenya. Lakini sasa mtoto bastard kwa tafsiri ya kawaida ni mtoto aliyezaliwa nje...
1 Reactions
13 Replies
716 Views
Hali imezidi kuwa mbaya huko Kenya katika maandamano yanaendelea lakini pia wanaibuka wahuni na kufanya mambo yao ya hovyo sana sasa hizi ni Kelele za Umma Baada ya Wahuni Kuvamia Hospitali ya...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Makamu wa Rais Mstaafu Rigathi Gachagua ametoa tuhuma nzito dhidi ya Rais William Ruto, akidai kuwa anaendesha mpango wa kutesa jamii ya Mlima Kenya kwa makusudi. Akizungumza tarehe 5 Juni 2025...
0 Reactions
5 Replies
535 Views
Wanaume takriban 20 wenye silaha walivamia makao makuu ya Tume ya Haki za Binadamu nchini Kenya siku ya Jumapili wakati taasisi hiyo ikiwa inajiandaa kufanya mkutano na waandishi wa habari...
0 Reactions
4 Replies
569 Views
Wakati Watanzania wakiadhimisha siku ya Sabasaba ikiwa ni maadhimisho ya kimataifa ya Biashara, kwa Wakenya siku hiyo inakumbukwa kuwa ni ya kiharakati, ikienda hadi miaka 1990 ambapo baadhi ya...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Boda Boda amegongwa na gari ya msafara wa rais huko Kenya na walikufa papo hapo na gari ikaingia huko kwenye maporomoko Magari hayo yalikuwa yakimsindikiza Rais William Ruto na Gavana Cecily...
1 Reactions
12 Replies
679 Views
Barabara zote kuu zinazoelekea jijini Nairobi zimefungwa leo huku hali ya usalama ikimarishwa katika maeneo mbalimbali ya mji, kufuatia maandamano yanayotarajiwa katika maadhimisho ya kumbukumbu...
1 Reactions
2 Replies
455 Views
Watu wasiopungua watano wameuawa katika maandamano ya Saba Saba ya leo huku makabiliano kati ya polisi wa kupambana na vurugu na waandamanaji yakizidi kushika kasi. Katika eneo la Kangemi, raia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hilo ndilo kosa kubwa linalofanywa na uongozi wa Kenya siasa kwenye vyombo vyao vya habari ni Kwa 95%,vipindi vya kimaendeleo Kwa Kenya vinapatiwa 5% only,Tujifunze Kwa majirani, hakika mungu...
1 Reactions
3 Replies
321 Views
Hali ilivyo Kenya inasikitisha sana, ustaarabu hawana, utu hawana na wala sio waungwana. Mshana Jr alinusurika kuliwa na wala nyama za watu akiwa Uganda.
2 Reactions
11 Replies
545 Views
Moses Kuria ajiuzulu nafasi ya Mshauri Mwandamizi wa Masuala ya Kiuchumi wa Rais William Ruto, asema anakwenda kufuatilia masuala yake binafsi. ================== Moses Kuria resigns as President...
0 Reactions
7 Replies
391 Views
Waziri mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga amekemea mauaji yanayofanywa na Polisi na kusema ni aibu kwa taifa lao. Raila amesema Kenya ililibadili Jeshi la Polisi na kuwa Huduma ili kuliondoa...
4 Reactions
59 Replies
2K Views
Rais wa Kenya, William Ruto, ameendelea kusisitiza nia yake ya kujenga kanisa la kisasa ndani ya Ikulu (State House), akipinga vikali kauli za baadhi ya watu wanaodai kuwa mradi huo utagharimu...
1 Reactions
4 Replies
556 Views
Wakuu, Yaani Kenya kila mtu mbabe. Inaonekana kwenye haya maandamano kuna vijana wamevurugwa to the point wanachoma mali za Serikali. Hii ni video inayoonesha vijana ambao The Citizen imewaita...
2 Reactions
14 Replies
987 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…